Course Coordinator
JF-Expert Member
- Jul 27, 2019
- 1,681
- 3,065
Katika chorus Roma amasema Yupo Mungu wa kukufuta machozi
Kabendera huko ulipo na akina Tito Magoti na wengine wenye maswaibu mbalimbali yanayowasibu ,jipeni moyo mkiwa magerezani,mahabusu ,mahosptalini ,majumbani ..Mateso mnayoyapitia ni ya muda tu yatapita ,Roma amasema wapo akina Meshack na Abeli hadi kwenye tanuru la moto walipita lakini walishinda ..
Kabendera huko ulipo na akina Tito Magoti na wengine wenye maswaibu mbalimbali yanayowasibu ,jipeni moyo mkiwa magerezani,mahabusu ,mahosptalini ,majumbani ..Mateso mnayoyapitia ni ya muda tu yatapita ,Roma amasema wapo akina Meshack na Abeli hadi kwenye tanuru la moto walipita lakini walishinda ..