Wimbo kwa ajili ya Rais Samia, wenye tittle ya "In her hands"

blind fighter

Member
May 17, 2021
62
78
Wakuu habarini za wakati huu, nakuja mbele zenu muda huu kuwasilisha wimbo wangu ambao nimetengeneza mahususi kwa ajili ya Rais wetu, mama mpendwa tena kipenzi cha watanzania, unaoenda kwa kichwa cha "In her hands".

Huu wimbo nimeuandika kwa lugha ya Kiingereza.
nimekuja humu kutoa taarifa kwa sababu mimi sio msanaii, na profile yangu sio kubwa sana, kiasi kwamba nikiswema niupost youtube pekee, unaweza kuchelewa kumfikia mheshimiwa Rais. hivyo basi, naamini kupitia hii platform inaweza kuwa rahisi kumfikia Mheshimiwa Rais.

Hadi sasa wimbo upo youtube, link
View: https://youtu.be/vF7CRfNTyQ4?si=15dOiFcMZQBG8D5s

Nillitamani kutoa pongezi kwa Mh Rais, ila kumwone ana kwa ana najua haiwezekani, nikaona nimpe pongenzi kupitia huu wimbo kwa kuutambua uwajibikaji wake.

NimeUpload wimbo chini

(KIMOMBO)
Hello everyone,
I hope you're all doing well. I come before you today to present a song I have created specifically for our beloved and cherished President, a leader dear to all Tanzanians. The song is titled "In Her Hands."

This song is written in English and is a heartfelt tribute to our President. I am sharing this information here because I am not a professional musician, and my profile isn’t widely recognized. This means that if I only rely on posting the song on YouTube, it might take a long time to reach Her Excellency, the President.

Therefore, I believe that by sharing it on this platform, it might be easier to reach her. As of now, the song is already available on YouTube, and you can find it through this link:
View: https://youtu.be/vF7CRfNTyQ4?si=15dOiFcMZQBG8D5s.

I wanted to express my admiration and gratitude to Her Excellency the President, but meeting her in person is a challenge. So, I decided to extend my congratulations and appreciation through this song, recognizing her accountability and remarkable leadership.

Thank you for your support!
By kelvin (kevoo) kingphisher
phone (normal call/texts and whatsapp): 0620224372, from Dar ES Salaam.
 
Garbage. Wamuandikie na injili na zaburi zake kama wanaweza afaidi huyu mungu mtu wa machawa.
 
Kama taifa hatuwezi kupata maendeleo ya kweli bila kudhibiti tatizo la njaa.

Njaa mbaya sana.
 
Nami ngoja nimtungie wimbo.
In Tanzania, we are unblessed
We have a ruler
Brutal one and pointlessly proud
She's proud of keeping lice
Soon, we'll mice
She is fond of being praised
Lice would want to see her worshipped
For those who praise her not
They end up being hijacked
Some were killed
Others got lost
Bedbugs and lice are happy
They hype her performance
Sa100 has sold us
She has intimidated us
For those with just common senses
Those who don't have a clue
All praises are fake
They are geared ignorance and laziness
They emanate from bootlicking
Yeah, buttlicking
Uh-oh our country is doomed
For long
It has gone to the dogs
That is our plight
That is our debacle
Tanzania loves to hater self-seekers
It. hates corrupt and criminal rulers
My poor Tanzania
My poor mother Tanzania
You are the only mother
Others are fake, feeble, and fickle.

Bedbugs and lice eat from the body of their keeper
They even mercilessly exploit others
We are in big quagmire
Who will help us out?
That is our plight
That is our unfortunate fate
We indeed are in hot soup.
 
Back
Top Bottom