Wimbo Kijiwe Nongwa wa ROSTAM na Nay wa mitego ni noma

nasikia muumimi alipigwa kifo cha mende..

mchungaji kwenye bleach la kikongo...

kuna mtu anapika anapakuliwa...

wabunge mbovu, ila kuna daktar wao a nakuja toka ubelgiji..

Walimpeleka mlevi afcon akacheze namba ya Mkude
Shikamooni Rostam
 
Kamtja lissu
Ndugai kama spika mbovu
Jiwe kama nabii
Lowasa kama mchunga ngombe
Shilole
 
Umechambua vizuri Sana hasa sehemu ambazo zingetuacha geza ulole.... Ila zile sehemu pendwa za kisiasa umeziacha aisee... Mi sijaelewa mariamu biriani Ni Nani mkuu
Ni mdada mmoja maarufu kwa kuuza biriani kuna kipindi video zake za uchafu zilivuja twitter na mitandao mingine ya kijamii
 
Art at it's excellence. Rostam never cease to amaze me at their creativity, And before I forget, the video director - He did a great job too!!
 
Sijaelewa aya maneno yao:

1.vipi dada yetu wa igunga, vipi amecha kudanga, (hapa sijaelewa amewagusa kina nani hao)

2. Fundi gereji chawa amefungua mgahawa (hapa napo sijaelewa wakuu msaada)

3. Acha maisha yaendelee, jasiri ameumaliza mwendo (uyo jasiri ni nani)

4. Kuna demu aliolewa na mtoto, akaachiwa mtoto, (nani uyo alieguswa)

5. Ila mwamaba ni mnyanyasaji wa kijinsia, ni nani uyo
1&2.ni shilole ana bwana wake fundi gereji wamefungua mgahawa ndo maanaa anasema kuwa wote wamekuwa mama ntilie
3.huyo ni jasiri RUGE kamaliza mwendo(kafariki)
4.Ni Uwoya (aliachwa na marehemu yule mwanasoka wa rwanda na mtoto..na yeye akaolewa na mtoto (dogo janja) akaachwa na mtoto (dogo janja) amebaki analea mtoto (wa huyu mwansoka alifariki)
5.Ni diamond jinsi anavyowagonga mademu yeye ndio ALMASI anayesemwa iliokotwa na Miss tz (wema sepetu)
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom