VideoMwenye hii ngoma naiomba jaman
GwajiboyPierre liquid
Humo ndani wameimba kimafumbo wamewataja wafuatao:-
Mondi bin la deni
Lowassa
Dogo janja
Uwoya
Zari
Tanasha
Amber ruty
Shilole
Gwajiboy
Uchebe
Amunike
Mzee wa liqwidi
Ruge
Lissu
Wema sepetu
Ila wamewataja kimafumbo...take your time kuinjoy nyimbo na kuwarecognize
WimboNyimbo (nyingi). Nyimbo hizi.
Wimbo (mmoja). Wimbo huu.
Angalia mstari unaotaja Almasi....miss tanzania na mganda na maharamiani nzuri kwa sisi wapenda fasihi ila sijajua alipotajwa diamond zari na tanasha
Vipi nkisema nyimbo hiiNyimbo (nyingi). Nyimbo hizi.
Wimbo (mmoja). Wimbo huu.
Umekosea. Hii ni moja. Nyimbo ni nyingi.Vipi nkisema nyimbo hii
Kweli aisee..,Maisha yanaenda kasi sana kutoka kurap na kuimba harakati hadi taarab na mipasho..nadhani hii ni kazi ya wasiojulikana walivyofanya yao vijana wameufyata..taarabu na mipasho tu