teh teh teh umetishaMashemeji wangapi, mimi nimechokaaa............
tena najiuliza sana, wanatokea wapi.............
wanitia mashaka, nakuwa na wasiwasi.........
unaniweka roho juu imani nawe imeshanitoka.....
(hivi siku hizi mtu ukianza kujiuliza hivi si utakuwa kichaa?)
we zamani ya vita ya kwanza vya sayari hii bhana
ilikuwa mwaka 1914,hivi ulikwepo vita vya maji maji?
hata ya juice juice nilikwepo,ila enzi hizo nilikuwa nakuona mdogo,siku hizi umeshakua eeh
wakati huo.............. enzi zetu tunabembelezana.............ilikuwa mwaka 1914,hivi ulikwepo vita vya maji maji?