Wana Jf
najua kuna wimbo unaupenda kuusikiliza kila siku iwe ofisini, kwenye gari lako au nyumban kwako!
Mimi binafsi "africa unite" wa bob marley.
Unapenda up?
Dah! Ninapenda nyingi sana ila huwa nazisikiliza kukingana na mazingira,nyakati, ninapo kuwa mbali na familia yangu napenda sana kupiga song la craing devid "im waking away"
mimi kwa wiki mbili/tatu sasa nimekuwa nikisikiliza wimbo ilioimbwa mara mbili kwa lugha mbili tofauti za kinyarwanda na kiswahili, wa KWETU PAZURI au IWACU HEZA za ambasadors of christ mfululizo bila kubadilisha wala kuchoka!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.