STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,077
- 17,207
Kama Ni kweli basi Huyu jamaa bado sumu Ya cocaine haijamuisha Kichwani mwake,
Kwakweli Hizi kiki zinawapeleka pabaya wasanii wetu,
Manake kila kitu kinageuzwa fursa hatakama hakistahili.
Max ni mtu smart sana upstair na nashindwa kuelewa kwanini anamuachia dogo afanye vitu vya ovyo namna hii.
aargh
Kwakweli Hizi kiki zinawapeleka pabaya wasanii wetu,
Manake kila kitu kinageuzwa fursa hatakama hakistahili.
Max ni mtu smart sana upstair na nashindwa kuelewa kwanini anamuachia dogo afanye vitu vya ovyo namna hii.
aargh