Rockefeller
JF-Expert Member
- Nov 21, 2016
- 1,196
- 2,151
Nabii Tito - Ni wema wako Yesu
Ok nimekupataHapa tumezungumzia nyimbo za kwaya tu mkuu
Kijitonyama-Masiah masiahShaloom wakuu,
Tasnia ya muziki wa injili kwa vikundi vya kwaya hapa Tanzania ni tasnia kongwe na iliyotawala zaidi kwenye chati za nyimbo za dini ya Kikristo mpaka ilipofikia miaka ya 2000's ambapo walianza kuibuka waimbaji wa kujitegemea wa nyimbo za injili na kwa wingi wao imepelekea umaarufu wa vikundi na nyimbo za kwaya kushuka kwa miaka ya karibuni.
Binafsi ni mpenzi mkubwa wa nyimbo za kwaya toka miaka hiyo mpaka sasa na leo niliamka nikiwaza ni nyimbo gani ya injili ya kwaya ambayo tunaweza kusema ndio nyimbo bora zaidi kupata kutengenezwa/kuimbwa hapa Tanzania toka mziki huu uanzishwe.
Naomba mnisaidie kuchagua namba moja kwenye list ya nyimbo za kwaya ninazoona ziliwahi kutikisa sana tasnia ya nyimbo za injili na wewe pia unaweza kuongezea chaguo lako kama unaona haipo kwenye orodha hiyo;
1. Tabata Menonite - Kunyata nyata
2. AIC Makongoro- Utumwa wa waisrael & Kekundu
3. Mtoni Evangelical- Lulu
4. Bethel Gospel - Yupo Mungu
5. Barabara ya 13- Samson na Delila
6. Mapigano Ulyankuru- Katika viumbe vyote & Goliati & Fahari ya vijana
7. Nkinga choir - Sauli wanitesa
8. KKKT Mabibo - Nijaposema kwa lugha & Sauti ikatoka.
9. AIC Chang'ombe - Gusa
10. Zablon Singers - Mkono wa Bwana
11. Jerusalem choir - Kesho ni yako
12. Kijitonyama uinjilisti - Hakuna kama wewe
13. Pastor Alex & Mary Atieno - Sodoma na Gomorrah
14. Eternal life gospel - Sio sisi
15. Mtakatifu Kizito Makuburi - Mimina & Yesu ni mwema
16. Mt. Theresia Matogoro - I love you
17. Kapotive star- Nimeonja pendo lako
18. Arusha town - Kila mtu na mzigo wake
19. Tafes (Ardhi)- Maserafi
20. Essence of worship- Mimi siwezi
Karibuni.
Kwa hii list yako hiyo 14 ni baabkubwaShaloom wakuu,
Tasnia ya muziki wa injili kwa vikundi vya kwaya hapa Tanzania ni tasnia kongwe na iliyotawala zaidi kwenye chati za nyimbo za dini ya Kikristo mpaka ilipofikia miaka ya 2000's ambapo walianza kuibuka waimbaji wa kujitegemea wa nyimbo za injili na kwa wingi wao imepelekea umaarufu wa vikundi na nyimbo za kwaya kushuka kwa miaka ya karibuni.
Binafsi ni mpenzi mkubwa wa nyimbo za kwaya toka miaka hiyo mpaka sasa na leo niliamka nikiwaza ni nyimbo gani ya injili ya kwaya ambayo tunaweza kusema ndio nyimbo bora zaidi kupata kutengenezwa/kuimbwa hapa Tanzania toka mziki huu uanzishwe.
Naomba mnisaidie kuchagua namba moja kwenye list ya nyimbo za kwaya ninazoona ziliwahi kutikisa sana tasnia ya nyimbo za injili na wewe pia unaweza kuongezea chaguo lako kama unaona haipo kwenye orodha hiyo;
1. Tabata Menonite - Kunyata nyata
2. AIC Makongoro- Utumwa wa waisrael & Kekundu
3. Mtoni Evangelical- Lulu
4. Bethel Gospel - Yupo Mungu
5. Barabara ya 13- Samson na Delila
6. Mapigano Ulyankuru- Katika viumbe vyote & Goliati & Fahari ya vijana
7. Nkinga choir - Sauli wanitesa
8. KKKT Mabibo - Nijaposema kwa lugha & Sauti ikatoka.
9. AIC Chang'ombe - Gusa
10. Zablon Singers - Mkono wa Bwana
11. Jerusalem choir - Kesho ni yako
12. Kijitonyama uinjilisti - Hakuna kama wewe
13. Pastor Alex & Mary Atieno - Sodoma na Gomorrah
14. Eternal life gospel - Sio sisi
15. Mtakatifu Kizito Makuburi - Mimina & Yesu ni mwema
16. Mt. Theresia Matogoro - I love you
17. Kapotive star- Nimeonja pendo lako
18. Arusha town - Kila mtu na mzigo wake
19. Tafes (Ardhi)- Maserafi
20. Essence of worship- Mimi siwezi
Karibuni.
Hiyo no 3 Watoto wa Nyumba Zote imenikumbusha mbali sana, waliimba uhalisia wa maisha ya watu wengi. Niliipenda sana1.TABATA MENNONITE ila siyo kwa wimbo wa KUNYATA NYATA bali ule wimbo wao mwingine wa WATU WANAPENDA MIKATE.
2.AIC CHANG'OMBE
3.MT. KIZITO MAKUBURI DAR- WATOTO WA NYUMBA ZOTE.
4.LUTHERAN MABIBO- Ile Album yao ya SAUTI IKATOKA.
5.MUUNGANO CHRISTIAN CHOIR- HAKIKA "Natembea nikiwa marehemu".
6.KAPOTIVE STARS.
7.MT. CECILIA ARUSHA-MSHIPI.
8.AMBASSADORS OF CHRIST RWANDA.
9.MABATINI ADVENTIST CHOIR MWANZA.
10.MT. MAURUS MAKONGOROSI, CHUNYA.
Walipotea baada ya kujitenga na kanisa lao.Nimekupa like kwa ajili ya hao Muungano... kula like nyingine mkuu!!
Zote zilizotajwa hapo juu.Zipi unahitaji nikupatie
Kula like kwa ajili yaKwangu mm hii ndio list bora
- Beatrice Muhone-Habari njema
- Mtoni Evangelical Choir-haleluya
- Natembea Marehemu Muungano Christian Choir
- Pillars of Faith_Jua Litue
- Usifurahi Juu Yangu ya Upendo Nkone
- Mungu yu mwema
- Magena main youth choir -mamlaka
- jina la yesu kinondoni revival
Urahisi wa kuzipata sasa!
Malabee hao kutoka Segerea major seminary.Wakuu si mnipatie kuna wimbo wanaimba unitume mimi ila sauti walizoimba ni wanaume pekee sijajua ni wakina nani
Ngoja tuongozeKula like kwa ajili ya
Beatrice Muhone, tena ongezea nyimbo zake zoote z Albam ya kwanza
Magena kwaya, ongezea manyimbo yao yote
Pillars of Faith, ongezea wimbo wao wa nyundo
Mkuu nikitaka kusearch niandike segerea major seminary auMalabee hao kutoka Segerea major seminary.
Dah nisamehe sana kuwasahau Kinondoni revival aseeKwangu mm hii ndio list bora
- Beatrice Muhone-Habari njema
- Mtoni Evangelical Choir-haleluya
- Natembea Marehemu Muungano Christian Choir
- Pillars of Faith_Jua Litue
- Usifurahi Juu Yangu ya Upendo Nkone
- Mungu yu mwema
- Magena main youth choir -mamlaka
- jina la yesu kinondoni revival