Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,054
- 7,262
Wee acha tu nduguHasa kwa daslam daah ndio balaah
Wee acha tu nduguHasa kwa daslam daah ndio balaah
Vidole vyao vinakuaga kama ndizi za kuchoma
Napenda zilizojichubua mwili mzima
Mimi kinachonikera tu kuona demu ana ndevu kama Osama Bin Laden, yaani hapo hata niwe na nyege kiasi gani simsemeshi huyo demu. Kuna kademu flani ka Bongo muvi (Irene Paul), kajiharibu ile mbaya kwa kujichubua, yaani anaonekana kama kikongwe cha miaka 80 hivi alivyokongorojoka.....hivi wanawak mna matatizo gani ya akili lakini, nani aloyewadanganya kujichubua ndiyo uzuri?Aseh hv ulishawai kutana na mwanamke usiku ile rangi yake ya weupe ikakuvutia ilee paaap unakutana nae asubuh huamin macho yako vidole vyeusiiiiiiii yan anatisha vidole vya mikononi mpk miguuni!!??
Wanawake wengi wanaamini uzur wa mwanamke ni weupe lakini sio kwel hasa kwa mkoa wa dar es salaam aseh ni balaaa yan katika wanawake 10 bhas 9 wanajichubua
Naona siku iz mpk kuna wanaume nao wanajicream wanalilia weupe hii noma san
Mimi kinachonikera tu kuona demu ana ndevu kama Osama Bin Laden, yaani hapo hata niwe na nyege kiasi gani simsemeshi huyo demu. Kuna kademu flani ka Bongo muvi (Irene Paul), kajiharibu ile mbaya kwa kujichubua, yaani anaonekana kama kikongwe cha miaka 80 hivi alivyokongorojoka.....hivi wanawak mna matatizo gani ya akili lakini, nani aloyewadanganya kujichubua ndiyo uzuri?
Huyu bi mkubwa kwenye nyimbo ya Michael Jackson ya Thriller angeingia direct kama zombie bila make up yoyote ya kumtengeneza awe na muonekano wa zombie maana tayari ni living zombie.