Willy Gamba, Hofu, Njama, na E MUSIBA, Mnakumbuka Enzi Hizo?

mimi natafuta uchu pamoja na kufa na kupona vingine ninavyo (njama, hofu, kikosi cha kisasi na kikomo).
 
KUFA NA KUPONA ndicho kilikuwa the best wakati wake. Mzingira yake yalikuw ani Nairobi, Willy GAmba akishirikiana na Sammy mtaalamu wa kurusha visu.
 
Halafu wanamsingizia eti alidesa riwaya za James Hadley Chase na Agatha Christie!
Bila kuwasahau Masta Giro na Inspector Malifedha, nami inanikumbusha mbali sana nikiwa shule ya msingi darasa la nne, Asante uliyepost hii inaonesha ulivyo tofauti na hawa kizazi kipya ambao hawaoni haya kusoma magazeti ya udaku kama Fukuto nk.
 
Bring it on! Wow imenikumbusha mbali sana......SAD kwamba kwa sababy ya mambo ya copyright vitabu vyake havichapishwi tena (au kuna mkono wa sirika;li wajameni?)
Kaizer, sina uhakika kama bado kuna mtu anaweza kuvichapisha sasa hivi, si utaambiwa uchochezi.
 
Kaizer, sina uhakika kama bado kuna mtu anaweza kuvichapisha sasa hivi, si utaambiwa uchochezi.
Update ni kwamba huko Kenya kuna wadau wameona fursa wanachapishia huko na kuviingiza kwa siri humu....nilshamwonaga chinga mmoja....sad!
 
Nimejipatia nakala mpyaaaaa ya HUJUMA...
HUJUMA FINAL COVER.jpg
 
NJAMASURA YA TISAMAPAMBANO NA VIBARAKAIlikuwa saa kumi na mbili na nusu za asubuhi wakati nilipokuwa nakaribia kumaliza kunyoa ndevu. Nilikiangakia kidevu changu kwenye kioo nikaona nilikuwa sijajinyoa vizuri. Kila wakati nilipokuwa na mawazo mengi kitu kama hiki kilikuwa kinanitokea . Lakini hata hivyo nia yangu nionekane nadhifu hivyo nilichukua tena mashine ya ndevu na kuanza kujinyoa.
Mambo vipi kiongozi.
Naweza kupata softcopy za riwaya za kijasusi za Willy Gamba zilizoandikwa na Musiba?
Natanguliza shukrani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nilikuwa nikisoma kitabu cha Willy Gamba nilijua ni ukweli na niliamini kuhusu story ya Maganzo!!Na hile story ya Njama kuingiza siraha nikajua ni kweli kumbe jamaa ni jinsi alivyokuwa anatunga na kuamini kuwa nikweli!!
😁😁😁😁😁, Si wewe tu hata Mimi niliamini ni kweli🏃🏃
 
Yaani 1950-2010 bado mnasema kafa mapema!!?

Dah... kumbe JF mambo ya ajabu yalikwepo tangu miaka 8 nyuma.
 
Back
Top Bottom