Nondoh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 298
- 478
.@WilliamsRuto "There will be a training centre in every ward across the country for the Ajira Digital Program" [HASHTAG]#JubileePlan4Kenya[/HASHTAG]
Kenya wameahidiwa kujengewa vituo vya mafunzo ya ajira kata zote nchi nzima
Ahadi hii naifananisha na ahadi aliyotupa Rais Magufuli na CCM yake kipindi cha kampeni lakini hadi sasa miaka miwili inakaribia file loading... Sijui hili file limeliwa na virus ama la
Nini mtazamo wako? Je Kenya watatekelezewa au nao file loading... Itawakumba?
Kenya wameahidiwa kujengewa vituo vya mafunzo ya ajira kata zote nchi nzima
Ahadi hii naifananisha na ahadi aliyotupa Rais Magufuli na CCM yake kipindi cha kampeni lakini hadi sasa miaka miwili inakaribia file loading... Sijui hili file limeliwa na virus ama la
Nini mtazamo wako? Je Kenya watatekelezewa au nao file loading... Itawakumba?