boma2000
JF-Expert Member
- Oct 18, 2009
- 3,280
- 310
VOA na BBC zinaripoti kuwa Rais Mwai Kibaki wa Kenya amemfukuza kazi Waziri wa Elimu wa nchi hiyo kwa tuhuma za rushwa.
Kikwete na Washabiki-njaa wa CCM, muna la kujifunza hapo?
Haya tena CCM limewafika tena, ila ni soma kwa watanzania wote si CCM pekee