samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,174
Vizuri sana!
Naona amesoma alama za nyakati!
Kwani utawala wa Rais Magufuli umemgaya!
Ila jimbo la Sengerema,2020 linaenda kwa Tabasamu!
Ajiandae kuliangalia Bunge kwenye tv!
Nilitegemea ungeshauri avuliwe nyadhifa zote, na ashitakiwe kwa kosa la kumsaidia mhujumu uchumi RUGE kutakatisha fedha zake... na pia itolewe amri ya kufuatiliwa vyanzo vyake vya mapato na ikibainika vimepatikana kwa kiasi kikubwa kwa kutumia madaraka vibaya basi afilisiwe...
kuukosa ubunge tu eti 2020 haiwezi kuwa adhabu kwa watu kama hawa..