Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,153
Huo u-sauti ya Umeme sie wengine hatuujui.
Huyu kijana wetu wa siku nyingi sauti ya umeme, leo majina yao yanaenda kamati kuu tunamuombea mema wasije wakafanya mchezo mchafu ..bora huyu apite kwani tuko karibu naye sana
Kwani tunamuonaga tu akiandika, hatujawahi kusikia sauti yake.
Anyway, hata akishindwa, kwetu sisi wengine poa.
Naskia ana share humu barazani!!!!