Le mutuz mzazi wake mmoja tu ndio yupo haiKuumwa kwa wazee ni jambo la kawaida! Sema watu wana bahati! Yaani hadi unagonga 60's bado wazazi wako wapo hai! Yaani kama Prince Charles, ambae mtoto na wazazi wote vikongwe!
Anyway, ugua pole Mzee William John Malecela!!!