William Malecela (Le Mutuz) anaumwa, tumuombee

Kuumwa kwa wazee ni jambo la kawaida! Sema watu wana bahati! Yaani hadi unagonga 60's bado wazazi wako wapo hai! Yaani kama Prince Charles, ambae mtoto na wazazi wote vikongwe!

Anyway, ugua pole Mzee William John Malecela!!!
Le mutuz mzazi wake mmoja tu ndio yupo hai
 
W. J. Malecela Huyu ni mwanaJF mwenzetu muda kidogo hajaonekana huku yuko matatizoni kwa kuumwa tumkumbuke kwenye maombi.

Kwa mujibu wa maelezo yake huko Instragram hapo pichani akiwa ametoka ICU na kesho atarudishwa wodini kwa upasuaji.(hajasema ni upasuaji wa nini.

Pole sana Mungu akutangulie.

View attachment 1726599
kafunga na safety belt ndio akapost
JamiiForums1839644475.jpg
 
hivi sini mtoto wa John malecela na mke wa malecela ni Anne kilango na dada ni dr Mwele Malecela
Mzee malecela ni dingi yake ila mazeri wake alidedi, it seems bi mkubwa wa le mbebez alikuwa mchepuko, pia huyu anne kilango ameolewa juzi kati na mzee
 
Wale ambao mmeshawahi kuishi nyumba ya panya mnaelewa!!

Ukiona kimya tambua kwamba dawa ya panya imefanya kazi!

Kuna watu hapa mjini maisha yao hayana tofauti na panya ndani ya nyumba!

Mfano!
Watu dizaini ya Musiba na lemutuz hatujawazoea kabisa kukaa kimya!

Nani anafaham walipo hawa makada wa lumumba!
 
Back
Top Bottom