Chilli
JF-Expert Member
- Jul 17, 2011
- 1,655
- 743
- ha! ha! ha! ha! kioo cha jamii my foot, huku futari ina uji una vitu flani kama pili pili hivi, lakini supa sana!! you know!!
Willie!!
Halafu wewe Willie ifike hatua ujue kwamba we ni mtu mzima. Watu wa umri wako hawaishi maisha kama haya yako. Halafu eti ndio alitaka kutuwakilisha EA?!
Mtu mzima lakini mambo ya kitoto kama nini. Shida yako ukikutana club na kina Diamond na Sinta basi unajiona ni saizi yao! We mbona ni makamo ya baba zao?
Mtu mzima ho...oooooo!!