sikiolakufa
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 411
- 54
Nimekosa uvumilivu na nimeamua kumfikisha william malecela kwenye vyombo vinavyohusika, hii ni baada ya kunitolea maneno ya kashfa na matusi kwenye mtandao huu baada ya kuhoji mwenendo wake wa maisha akiwa kama mtu tunayemtumainia kutuongoza siku za usoni aliandika hivi "umenifuatilia kwenye facebook ukataka nikusaidie kazi ya ukuwadi nika ku delete sasa unakuja huku JF angalia bwana hapa mjini utavishwa shanga" maneno haya hakika yameniudhi sana nafikiri kuna avenue ya kutosha kuweza kutengeneza mazingira ya litigation....laa sivyo afute maneno hayo na aniombe radhi laa sivyo nina msue kwa defamation na malicious utterances. Uzi alio nitukana upo hapa JF Naomba kuwasilisha!