Miiku
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 3,835
- 2,630
Nimemsikiliza waziri wa ardhi nyumba na Maendeleo William lukuvi kwenye kipindi cha dk45 ITV hakika ni waziri wa mfano anaongea kwa msisitizo, umakini na kujiamini kuhusu matapeli wa ardhi kwa kofia ya matajiri
Ameelezea jinsi wanavyo zulumu ardhi . amedai sasa mamlaka yake ya uwaziri ameyashusha chini kabisa , amedai wote wqliozulumiwa ardhi na matapeli waandike jina la tapeli huyo wamwandikie barua moja kwa moja kwa ofisi ya waziri wa Ardhi, nyumba na maendeleo Ihumwa Dodoma ataijibu.
Soma pia:
Ameelezea jinsi wanavyo zulumu ardhi . amedai sasa mamlaka yake ya uwaziri ameyashusha chini kabisa , amedai wote wqliozulumiwa ardhi na matapeli waandike jina la tapeli huyo wamwandikie barua moja kwa moja kwa ofisi ya waziri wa Ardhi, nyumba na maendeleo Ihumwa Dodoma ataijibu.
Soma pia:
William Lukuvi & Ummy Mwalimu watajwa kuongoza kwa Utendaji Mzuri 2017
Wadau Waziri wa Ardhi Mh William Lukuvi na Waziri wa Afya Mh Ummy Mwalimu wametajwa kufanya vizuri zaidi kiutendaji katika baraza la mawaziri kwa 2017. Hii ni kwa mujibu wa maoni yaliyotolewa na Wananchi mbalimbali kupitia mitandao ya kijamii iliyopo chini ya MCL. Mawaziri wengine waliotajwa...
www.jamiiforums.com
Waziri Lukuvi kupewa tuzo ya uwajibikaji na viongozi wa dini
Dar es Salaam. Viongozi wa dini wanajiandaa kumpa tuzo Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi kwa utendaji mzuri uliojaa ubunifu na uwajibikaji. Hayo yameelezwa katika mahojiano maalum jijini Dar es salaam na Mwenyekiti wa Kamati ya Kitaifa ya Maadili na Haki za Binadamu...
www.jamiiforums.com
Katika mawaziri wa Rais Magufuli, nimekunwa na utendaji wa Lukuvi
Katika mawaziri wa mtukufu rais Magufuli, nimekunwa sana na utendaji wa mh. waziri Lukuvi, pamoja na baadhi ya dosari zilizopo katika serikali ya Magufuli ikiwemo dosari ya kuminya demokrasia jambo ambalo nitalipinga daima hata kama nitaitwa mchochezi, nitalipinga hata ndani ya nafsi yangu siku...
www.jamiiforums.com
TUNAJIVUNIA UTENDAJI WA MHE. LUKUVI
Kati ya uteuzi uliofanyika kwa usahihi ni uteuzi wa Mhe. Lukuvi kuwa Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi. Kwa muda mfupi aliokaa hapo Wizarani,Mhe.Lukuvi amerekebisha kasoro nyingi sana zilizojitokeza. Amehudhuria vikao vingi vya mikutano mikuu ya vijiji akisikilza kero za wananchi na kutoa...
www.jamiiforums.com
Ukiangalia na kufuatilia nyendo za William Lukuvi ni wazi ni kiongozi mwandaliwa wa baadae
Ndivyo huwa. Ukiangalia na kufuatilia nyendo za Mheshimu huyo kuanzia umakini wake na namna anavyojitahidi kukwepa mitego ya aina mbalimbali ni wazi ndg huyo lipo jambo limngojeayo huko mbele. Lukuvi ndiye Waziri pekee hadi mda huu hajakumbwa na kashfa ya aina yeyote! Lukuvi ndiye Kiongozi...
www.jamiiforums.com