William Erio: Mwisho wa Enzi kwa Boss wa NSSF au Mwanzo Mpya?

Nenda kamwambie mzee wako tunamkaribisha nyumban masasi tuendelee na kilimo chetu mama Cha korosho,

Mimi huyo awepo asiwepo haniongezei wala hanipunguzii,maisha yetu sisi wakulima tushayazoea,pia kama alikuwa anastaafu alikuwa anasubiria nin??

Basi kastaafishwa kwa lazima,mfikishie pole zetu
Ni wakati muhafaka,kuondoa jamii zile kubwa kwenye utumishi wa umma,au zipewe nafasi za chini,Haya,Chaga,sukuma,Nyakyusa,wakae pembeni.
Sasa ni wakati wa wazigua,wamwera,makonde,safwa,
 
Ni wakati muhafaka,kuondoa jamii zile kubwa kwenye utumishi wa umma,au zipewe nafasi za chini,Haya,Chaga,sukuma,Nyakyusa,wakae pembeni.
Sasa ni wakati wa wazigua,wamwera,makonde,safwa,

Sisi wanyonge wengine,tunazamishwa kwa HOJA kwamba hatuna shule na hatujapeleka watoto shule,hata Kama kwa miaka ya karibun vijana waneenda shule ila tunaonekana hamnazo,ila mungu yupo,ipo siku yetu.
 
Hapo wamrudishe tu mzee wetu wa saigoni Dr Ramadhani Dau hawa wengine kero tu hapo..
 
Akitaka afanye kazi vizuri ni kuhakikisha anawaondoa wote alokuja nao Erio.

Huyu amenyanyasa sana walokuwa wafanyakazi wa NSSF alowakuta, aanze na IDARA YA RASILIMALI WATU awaondoe wote walotoka PPF, then idara ya fedha.

Hizo sehemu mbili kuu za kushughulikia ipasavyo asipepese macho
Hata Shirika la Bima Taifa Mkurugenzi wa Fedha katoka PSSSF kajaza Wahasibu wote toka huko.
 
Unasema, “...Hili alilionyesha sana kipindi ameteuliwa kwenda NSSF ambapo licha ya kuhamisha hamisha wafanyakazi lundo waliokuwa wazoefu hapo NSSF na kuwapeleka Serikali Kuu, Halimashauri n.k alihakikisha anabeba viongozi aliokuwa nao PPF na kuhamia nao wote NSSF...” Really?

Mkurugenzi wa NSSF aliwezaje kuhamisha wafanyakazi kutoka NSSF kwenda Serikali Kuu na halmashauri? Wafanyakazi wa NSSF nao wako chini ya Civil Service?
Nafikiri alikuwa anaondoa watu wa DG wa kwanza ,ambaye aliajiri wengi wa imani moja.Nafikiri alifanya kazi yake vizuri
 
Ni vema akapumzika wakaja watu wengine
Ni kweli kabisa, alikuwa anafanya kazi kwa hofu ya Magufuli tu! Wakati huo kila tarehe 23 ya kila mwezi tayari pensheni ya wastaafu iliingia benki. Tangu Rais Magufuli afariki huyu Bwana Hana habari Tena ya kuwahisha pensheni ya wastaafu. Hadi anatumbuliwa pensheni ilikuwa bado kuingia!!
Mkurugenzi mkuu mpya wa nssf, hakikisha wazee wetu wanapata pensheni kwa wakati. Anza na Hilo maana Hilo ndilo jukumu lako la msingi.
 
Na wewe unalalamika?
Kwa Nini nisilalamike? Wazee mitaani walizoea tarehe 23 Mambo Safi. Baada tu ya Rais Magufuli kufariki, huyu jamaa bila aibu pensheni hakupeleka kwa wakati. Mpaka anatumbuliwa pensheni ilikuwa hawajaingiziwa! Katili Sana huyu.
 
Kwa Nini nisilalamike? Wazee mitaani walizoea tarehe 23 Mambo Safi. Baada tu ya Rais Magufuli kufariki, huyu jamaa bila aibu pensheni hakupeleka kwa wakati. Mpaka anatumbuliwa pensheni ilikuwa hawajaingiziwa! Katili Sana huyu.
Kwa hiyo magufuli kaondoka na hela? Ndiyo ujue Magufuli aliweka mfumo mbovu sana
 
Sheria ya Mashirika imefutwa. Hivyo kwa sasa Watumishi wote wapo chini ya Utumishi. Kuhamishwa kutoka kwenye Shirika la umma kwenda Halmashauri au Serikali Kuu ni jambo la kawaida tangu awamu ya 5 iingie madarakani.

Ni matumaini yetu Mama ataangalia tena hilo eneo ili utaratibu wa zamani urejeshwe.
Asante sana kwa ufafanuzi
 
Unasema, “...Hili alilionyesha sana kipindi ameteuliwa kwenda NSSF ambapo licha ya kuhamisha hamisha wafanyakazi lundo waliokuwa wazoefu hapo NSSF na kuwapeleka Serikali Kuu, Halimashauri n.k alihakikisha anabeba viongozi aliokuwa nao PPF na kuhamia nao wote NSSF...” Really?

Mkurugenzi wa NSSF aliwezaje kuhamisha wafanyakazi kutoka NSSF kwenda Serikali Kuu na halmashauri? Wafanyakazi wa NSSF nao wako chini ya Civil Service?
Kwani Mzee Urio naye sukuma gange? maana nasikia Magufuri aliwapa vyeo vikubwa sukuma.
 
.. William Erio siyo Mchaga.

..nilikua natoa angalizo tu ndugu zetu Mataga / kamati ya CHUKI.

..niko tayari kuvurumishiwa matusi.
mbona wajishitukia mkuu, sijaona mtu aliyeandika kwamba ndg Erio ni mchaga,

Btw naona unahisia za kikabila hivi.
 
Back
Top Bottom