Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Mshomba Alikuwa ni Deputy Wa Head Of PSU pale Makumbusho.
Ni wakati muhafaka,kuondoa jamii zile kubwa kwenye utumishi wa umma,au zipewe nafasi za chini,Haya,Chaga,sukuma,Nyakyusa,wakae pembeni.Nenda kamwambie mzee wako tunamkaribisha nyumban masasi tuendelee na kilimo chetu mama Cha korosho,
Mimi huyo awepo asiwepo haniongezei wala hanipunguzii,maisha yetu sisi wakulima tushayazoea,pia kama alikuwa anastaafu alikuwa anasubiria nin??
Basi kastaafishwa kwa lazima,mfikishie pole zetu
Ni wakati muhafaka,kuondoa jamii zile kubwa kwenye utumishi wa umma,au zipewe nafasi za chini,Haya,Chaga,sukuma,Nyakyusa,wakae pembeni.
Sasa ni wakati wa wazigua,wamwera,makonde,safwa,
Chawa kama Chawa.Acheni majungu yasiyo na kikomo, hujui kitu, eti mwendazake ujinga mtupu. Mliyoyategemea hayajaja jiandaeni na maumivu kama kawa.Tanzania haitakaa irudi nyuma. Chuma chuma tu
Hata Shirika la Bima Taifa Mkurugenzi wa Fedha katoka PSSSF kajaza Wahasibu wote toka huko.Akitaka afanye kazi vizuri ni kuhakikisha anawaondoa wote alokuja nao Erio.
Huyu amenyanyasa sana walokuwa wafanyakazi wa NSSF alowakuta, aanze na IDARA YA RASILIMALI WATU awaondoe wote walotoka PPF, then idara ya fedha.
Hizo sehemu mbili kuu za kushughulikia ipasavyo asipepese macho
Na wewe unalalamika?Afadhali ametenguliwa! Hafai. Kabla ya msiba wa kitaifa pension ilikuwa inatoka tarehe 23 kila mwezi. Baada tu ya msiba panya akatawala!! Mpaka leo pension haijatoka!! Huu si Ni uuaji!!
Mohamed Said una lipi la kusema kwenye hii hoja?Hapo wamrudishe tu mzee wetu wa saigoni Dr Ramadhani Dau hawa wengine kero tu hapo..
Nafikiri alikuwa anaondoa watu wa DG wa kwanza ,ambaye aliajiri wengi wa imani moja.Nafikiri alifanya kazi yake vizuriUnasema, “...Hili alilionyesha sana kipindi ameteuliwa kwenda NSSF ambapo licha ya kuhamisha hamisha wafanyakazi lundo waliokuwa wazoefu hapo NSSF na kuwapeleka Serikali Kuu, Halimashauri n.k alihakikisha anabeba viongozi aliokuwa nao PPF na kuhamia nao wote NSSF...” Really?
Mkurugenzi wa NSSF aliwezaje kuhamisha wafanyakazi kutoka NSSF kwenda Serikali Kuu na halmashauri? Wafanyakazi wa NSSF nao wako chini ya Civil Service?
Ni kweli kabisa, alikuwa anafanya kazi kwa hofu ya Magufuli tu! Wakati huo kila tarehe 23 ya kila mwezi tayari pensheni ya wastaafu iliingia benki. Tangu Rais Magufuli afariki huyu Bwana Hana habari Tena ya kuwahisha pensheni ya wastaafu. Hadi anatumbuliwa pensheni ilikuwa bado kuingia!!Ni vema akapumzika wakaja watu wengine
Kwa Nini nisilalamike? Wazee mitaani walizoea tarehe 23 Mambo Safi. Baada tu ya Rais Magufuli kufariki, huyu jamaa bila aibu pensheni hakupeleka kwa wakati. Mpaka anatumbuliwa pensheni ilikuwa hawajaingiziwa! Katili Sana huyu.Na wewe unalalamika?
Kwa hiyo magufuli kaondoka na hela? Ndiyo ujue Magufuli aliweka mfumo mbovu sanaKwa Nini nisilalamike? Wazee mitaani walizoea tarehe 23 Mambo Safi. Baada tu ya Rais Magufuli kufariki, huyu jamaa bila aibu pensheni hakupeleka kwa wakati. Mpaka anatumbuliwa pensheni ilikuwa hawajaingiziwa! Katili Sana huyu.
Asante mkuuUmeandika ukiwa objective sana.
Unaonekana upo neutral hivyo wote tuache muda uamue juu ya hatma ya huyu aliyekuwa DG wa miaka mingi kuwahi kutokea Tanzania.
Kwa Sasa Kuna Nssf Mpya(Nssf ya Kutoka ppf) na Nssf ya zamani(Hii Ni Nssf ya Dau)
Asante sana kwa ufafanuziSheria ya Mashirika imefutwa. Hivyo kwa sasa Watumishi wote wapo chini ya Utumishi. Kuhamishwa kutoka kwenye Shirika la umma kwenda Halmashauri au Serikali Kuu ni jambo la kawaida tangu awamu ya 5 iingie madarakani.
Ni matumaini yetu Mama ataangalia tena hilo eneo ili utaratibu wa zamani urejeshwe.
Asante sana kwa ufafanuzi
Kwani Mzee Urio naye sukuma gange? maana nasikia Magufuri aliwapa vyeo vikubwa sukuma.Unasema, “...Hili alilionyesha sana kipindi ameteuliwa kwenda NSSF ambapo licha ya kuhamisha hamisha wafanyakazi lundo waliokuwa wazoefu hapo NSSF na kuwapeleka Serikali Kuu, Halimashauri n.k alihakikisha anabeba viongozi aliokuwa nao PPF na kuhamia nao wote NSSF...” Really?
Mkurugenzi wa NSSF aliwezaje kuhamisha wafanyakazi kutoka NSSF kwenda Serikali Kuu na halmashauri? Wafanyakazi wa NSSF nao wako chini ya Civil Service?
mbona wajishitukia mkuu, sijaona mtu aliyeandika kwamba ndg Erio ni mchaga,.. William Erio siyo Mchaga.
..nilikua natoa angalizo tu ndugu zetu Mataga / kamati ya CHUKI.
..niko tayari kuvurumishiwa matusi.
Hizo zilikua hisia tu mkuu, ukiangalia safu ya uongozi enzi za Magu wasukuma walikua wachache sana.Kwani Mzee Urio naye sukuma gange? maana nasikia Magufuri aliwapa vyeo vikubwa sukuma.