J John W. Mlacha JF-Expert Member Oct 4, 2007 3,504 1,341 Apr 17, 2012 #1 Makofi kidogo ndugu wabunge. mpeni william kura ya NDIO ..tunamuombea kila la kheri pamoja na wagombea wengine
Makofi kidogo ndugu wabunge. mpeni william kura ya NDIO ..tunamuombea kila la kheri pamoja na wagombea wengine
P peter tumaini JF-Expert Member Feb 3, 2012 573 94 Apr 17, 2012 #3 Tunachohitaji ni mwakilishi mwenye kujenga hoja, kama hajawapa magamba cha kwao imekula kwake,JF hatupigi kura.
Tunachohitaji ni mwakilishi mwenye kujenga hoja, kama hajawapa magamba cha kwao imekula kwake,JF hatupigi kura.
J John W. Mlacha JF-Expert Member Oct 4, 2007 3,504 1,341 Apr 17, 2012 Thread starter #4 magamba bila kuwahonga hawakupi kura
Sigma JF-Expert Member Feb 26, 2011 5,006 1,254 Apr 17, 2012 #5 Kwa stahili iyo, kama ni kweli yuko pro taifa kwanza, le mutuz kapeleka wrong foot. Ni vema ajiunge na wazalendo wa kweli na sio wahubiri uzalendo
Kwa stahili iyo, kama ni kweli yuko pro taifa kwanza, le mutuz kapeleka wrong foot. Ni vema ajiunge na wazalendo wa kweli na sio wahubiri uzalendo
J John W. Mlacha JF-Expert Member Oct 4, 2007 3,504 1,341 Apr 17, 2012 Thread starter #6 Sigma said: Kwa stahili iyo, kama ni kweli yuko pro taifa kwanza, le mutuz kapeleka wrong foot. Ni vema ajiunge na wazalendo wa kweli na sio wahubiri uzalendo Click to expand... leo baada ya matokea ndio atajua
Sigma said: Kwa stahili iyo, kama ni kweli yuko pro taifa kwanza, le mutuz kapeleka wrong foot. Ni vema ajiunge na wazalendo wa kweli na sio wahubiri uzalendo Click to expand... leo baada ya matokea ndio atajua
Chilli JF-Expert Member Jul 17, 2011 1,655 743 Apr 17, 2012 #7 Sigma said: Duh! A piece of human being Click to expand... For sure!
T The Priest JF-Expert Member Dec 8, 2010 1,029 256 Apr 17, 2012 #8 Le mutuzzz! Leo ndio utawajua wenzako ni wapi..