Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,272
Will Smith(53) akiri kumruhusu rapa August Alsina(29) kutembea kimapenzi na mke wake Jada Pinket(50)
Ikumbukwe mwaka jana mjadala uliibuka baada ya rapa huyo kusema alishakuwa kwenye uhusiano na Jada baada ya kupewa ruhusa na mumewe, wengi walimponda Jada kuwa hakuwa mwaminifu kwenye ndoa yake, Jada alikataa Ila baadaye akakubali
Sasa Will Smith katika mahojiano mapya na GQ jarida maarufu la lifestyle za wanaume, amekiri kuwa ingawa yeye na Jada walifunga ndoa mwaka 1997 na ndoa yao ipo hadi sasa lakini walikubaliana kuwa na ndoa ya mahusiano ya wazi ili Kila mmoja kumruhusu mwenzie kwenda kuwa na mahusiano ya muda mfupi anapovutiwa na mtu mwingine huku wao wakiendelea kuwa wanandoa na kutimiziana majukumu yao na kuheshimiana Kama kawaida
Will Smith amesema baada ya kufunga ndoa walianza kubanana kwenye ndoa Kama walivyo wanandoa wengi kutopeana Uhuru wa kucheouka, lakini baada ya muda yaliwashinda, Will amesema Jada alikuwa na ndugu waliokuwa kwenye mahusiano ya wazi hivyo akawa anaona tangu akiwa mdogo na yeye Will alikulia katika mazingira tofauti na Jada hivyo kila mmoja akawa hayupo kamili kwa ajili ya ndoa waliyofunga ndio wakapeana Uhuru huo
Will amesema ameshakuwa kwenye mahusiano na wanawake wengine na Jada ameshakuwa na wanaume wengine lakini kikubwa kati yao ni kuaminiana, kuchepuka kwa umakini na hadi sasa upendo baina yao na kusapotiana katika mambo mengi havijawahi kabadilika
Will amesema yeye na Jada hawaamini kuwa ndoa ni kunyimana uhuru wa kufanya kinachokupa furaha lakini hamshauri mtu yeyote afuate njia yake
Wanandoa hao wamejaaliwa watoto wawili ingawa Will Smith anaye mtoto mwingine mkubwa aliyempata kabla ya kufunga ndoa na Jada
h(53) akiri kumruhusu rapa August Alsina(29) kutembea kimapenzi na mke wake Jada Pinket(50)
Ikumbukwe mwaka jana mjadala uliibuka baada ya rapa huyo kusema alishakuwa kwenye uhusiano na Jada baada ya kupewa ruhusa na mumewe, wengi walimponda Jada kuwa hakuwa mwaminifu kwenye ndoa yake, Jada alikataa Ila baadaye akakubali
Sasa Will Smith katika mahojiano mapya na GQ jarida maarufu la lifestyle za wanaume, amekiri kuwa ingawa yeye na Jada walifunga ndoa mwaka 1997 na ndoa yao ipo hadi sasa lakini walikubaliana kuwa na ndoa ya mahusiano ya wazi ili Kila mmoja kumruhusu mwenzie kwenda kuwa na mahusiano ya muda mfupi anapovutiwa na mtu mwingine huku wao wakiendelea kuwa wanandoa na kutimiziana majukumu yao na kuheshimiana Kama kawaida
Will Smith amesema baada ya kufunga ndoa walianza kubanana kwenye ndoa Kama walivyo wanandoa wengi kutopeana Uhuru wa kucheouka, lakini baada ya muda yaliwashinda, Will amesema Jada alikuwa na ndugu waliokuwa kwenye mahusiano ya wazi hivyo akawa anaona tangu akiwa mdogo na yeye Will alikulia katika mazingira tofauti na Jada hivyo kila mmoja akawa hayupo kamili kwa ajili ya ndoa waliyofunga ndio wakapeana Uhuru huo
Will amesema ameshakuwa kwenye mahusiano na wanawake wengine na Jada ameshakuwa na wanaume wengine lakini kikubwa kati yao ni kuaminiana, kuchepuka kwa umakini na hadi sasa upendo baina yao na kusapotiana katika mambo mengi havijawahi kabadilika
Will amesema yeye na Jada hawaamini kuwa ndoa ni kunyimana uhuru wa kufanya kinachokupa furaha lakini hamshauri mtu yeyote afuate njia yake
Wanandoa hao wamejaaliwa watoto wawili ingawa Will Smith anaye mtoto mwingine mkubwa aliyempata kabla ya kufunga ndoa na Jada.
Ikumbukwe mwaka jana mjadala uliibuka baada ya rapa huyo kusema alishakuwa kwenye uhusiano na Jada baada ya kupewa ruhusa na mumewe, wengi walimponda Jada kuwa hakuwa mwaminifu kwenye ndoa yake, Jada alikataa Ila baadaye akakubali
Sasa Will Smith katika mahojiano mapya na GQ jarida maarufu la lifestyle za wanaume, amekiri kuwa ingawa yeye na Jada walifunga ndoa mwaka 1997 na ndoa yao ipo hadi sasa lakini walikubaliana kuwa na ndoa ya mahusiano ya wazi ili Kila mmoja kumruhusu mwenzie kwenda kuwa na mahusiano ya muda mfupi anapovutiwa na mtu mwingine huku wao wakiendelea kuwa wanandoa na kutimiziana majukumu yao na kuheshimiana Kama kawaida
Will Smith amesema baada ya kufunga ndoa walianza kubanana kwenye ndoa Kama walivyo wanandoa wengi kutopeana Uhuru wa kucheouka, lakini baada ya muda yaliwashinda, Will amesema Jada alikuwa na ndugu waliokuwa kwenye mahusiano ya wazi hivyo akawa anaona tangu akiwa mdogo na yeye Will alikulia katika mazingira tofauti na Jada hivyo kila mmoja akawa hayupo kamili kwa ajili ya ndoa waliyofunga ndio wakapeana Uhuru huo
Will amesema ameshakuwa kwenye mahusiano na wanawake wengine na Jada ameshakuwa na wanaume wengine lakini kikubwa kati yao ni kuaminiana, kuchepuka kwa umakini na hadi sasa upendo baina yao na kusapotiana katika mambo mengi havijawahi kabadilika
Will amesema yeye na Jada hawaamini kuwa ndoa ni kunyimana uhuru wa kufanya kinachokupa furaha lakini hamshauri mtu yeyote afuate njia yake
Wanandoa hao wamejaaliwa watoto wawili ingawa Will Smith anaye mtoto mwingine mkubwa aliyempata kabla ya kufunga ndoa na Jada
h(53) akiri kumruhusu rapa August Alsina(29) kutembea kimapenzi na mke wake Jada Pinket(50)
Ikumbukwe mwaka jana mjadala uliibuka baada ya rapa huyo kusema alishakuwa kwenye uhusiano na Jada baada ya kupewa ruhusa na mumewe, wengi walimponda Jada kuwa hakuwa mwaminifu kwenye ndoa yake, Jada alikataa Ila baadaye akakubali
Sasa Will Smith katika mahojiano mapya na GQ jarida maarufu la lifestyle za wanaume, amekiri kuwa ingawa yeye na Jada walifunga ndoa mwaka 1997 na ndoa yao ipo hadi sasa lakini walikubaliana kuwa na ndoa ya mahusiano ya wazi ili Kila mmoja kumruhusu mwenzie kwenda kuwa na mahusiano ya muda mfupi anapovutiwa na mtu mwingine huku wao wakiendelea kuwa wanandoa na kutimiziana majukumu yao na kuheshimiana Kama kawaida
Will Smith amesema baada ya kufunga ndoa walianza kubanana kwenye ndoa Kama walivyo wanandoa wengi kutopeana Uhuru wa kucheouka, lakini baada ya muda yaliwashinda, Will amesema Jada alikuwa na ndugu waliokuwa kwenye mahusiano ya wazi hivyo akawa anaona tangu akiwa mdogo na yeye Will alikulia katika mazingira tofauti na Jada hivyo kila mmoja akawa hayupo kamili kwa ajili ya ndoa waliyofunga ndio wakapeana Uhuru huo
Will amesema ameshakuwa kwenye mahusiano na wanawake wengine na Jada ameshakuwa na wanaume wengine lakini kikubwa kati yao ni kuaminiana, kuchepuka kwa umakini na hadi sasa upendo baina yao na kusapotiana katika mambo mengi havijawahi kabadilika
Will amesema yeye na Jada hawaamini kuwa ndoa ni kunyimana uhuru wa kufanya kinachokupa furaha lakini hamshauri mtu yeyote afuate njia yake
Wanandoa hao wamejaaliwa watoto wawili ingawa Will Smith anaye mtoto mwingine mkubwa aliyempata kabla ya kufunga ndoa na Jada.