Wilfred Rwakatare augua ghafla

Uncle Rukus

JF-Expert Member
Jun 16, 2010
2,415
398
314974_250082608369494_100001032706598_784363_1375226684_n.jpg


TAARIFA ambazo zimethibitishwa na katibu wa CDM mkoa wa Mwanza Willson Mshumbusi ni kuwa Mkurugenzi wa taifa wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demokrasi na Maendeleo (Chadema) Wilfred Rwakatare amelazwa hosipitali ya rufaa ya Bugado wadi namba J-2 chumba namba J217, baada ya kuzidiwa akiwa katika uchaguzi mdogo wa Igunga. Hata hivyo hali yake imeelezwa kuwa nzuri na bado anaendelea na matibabu yake.

Inasemekana kuwa ugonjwa unaomsumbua ni Nemonia.
 
Pole sana Kamanda.

Ila mbona kama huyu kamanda tokea atoke CUF mi namwona kama afya imedhoofika au? Hata wakati wa maandamano ya Mwanza nilimuona kama weak hivi!
 
pole sana mkuu rwaka.inaonekana Mwanza kuna baridi sana.lakini utapona tu soon.mia
 
Pole kwa kamanda Mungu yuko pamoja nawe hayo ni majaribu tu ya kawaida katika maisha na ukizingatia majukumu mazito uliyokuwa nayo huko igunga ukikabiliana na magaidi wa magamba waliopatiwa mafunzo maalum kambini shelui.
 
314974_250082608369494_100001032706598_784363_1375226684_n.jpg
TAARIFA ambazo zimethibitishwa na katibu wa CDM mkoa wa Mwanza Willson Mshumbusi ni kuwa Mkurugenzi wa taifa wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demokrasi na Maendeleo (Chadema) Wilfred Rwakatare amelazwa hosipitali ya rufaa ya Bugado wadi namba J-2 chumba namba J217, baada ya kuzidiwa akiwa katika uchaguzi mdogo wa Igunga. Hata hivyo hali yake imeelezwa kuwa nzuri na bado anaendelea na matibabu yake. Inasemekana kuwa ugonjwa unaomsumbua ni Nemonia.
Kaka ye ni Daktari mkubwa, bila shaka ameishapeleka matibabu ya kutosha ,atapona haraka.
 
314974_250082608369494_100001032706598_784363_1375226684_n.jpg


TAARIFA ambazo zimethibitishwa na katibu wa CDM mkoa wa Mwanza Willson Mshumbusi ni kuwa Mkurugenzi wa taifa wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demokrasi na Maendeleo (Chadema) Wilfred Rwakatare amelazwa hosipitali ya rufaa ya Bugado wadi namba J-2 chumba namba J217, baada ya kuzidiwa akiwa katika uchaguzi mdogo wa Igunga. Hata hivyo hali yake imeelezwa kuwa nzuri na bado anaendelea na matibabu yake.

Inasemekana kuwa ugonjwa unaomsumbua ni Nemonia.

pole sana kamanda, tutazidi kukuombea kwa Mungu ili upone kwa haraka ili urudi kwenye uwanja wa mapambano huko Igunga hadi
kieleweke power to the people. amen.
 
314974_250082608369494_100001032706598_784363_1375226684_n.jpg


TAARIFA ambazo zimethibitishwa na katibu wa CDM mkoa wa Mwanza Willson Mshumbusi ni kuwa Mkurugenzi wa taifa wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demokrasi na Maendeleo (Chadema) Wilfred Rwakatare amelazwa hosipitali ya rufaa ya Bugado wadi namba J-2 chumba namba J217, baada ya kuzidiwa akiwa katika uchaguzi mdogo wa Igunga. Hata hivyo hali yake imeelezwa kuwa nzuri na bado anaendelea na matibabu yake.

Inasemekana kuwa ugonjwa unaomsumbua ni Nemonia.

Get well soon kamanda...we pray for you!!
 
Willson Mushumbusi ni Katibu wa Mkoa Chadema na, pole sana Rwakatare

<img src="https://fbcdn-sphotos-a.akamaihd.net/hphotos-ak-snc7/s720x720/314974_250082608369494_100001032706598_784363_1375226684_n.jpg" border="0" alt="" /><br />
<br />
TAARIFA ambazo zimethibitishwa na katibu wa CDM mkoa wa Mwanza Willson Mshumbusi ni kuwa Mkurugenzi wa taifa wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demokrasi na Maendeleo (Chadema) Wilfred Rwakatare amelazwa hosipitali ya rufaa ya Bugado wadi namba J-2 chumba namba J217, baada ya kuzidiwa akiwa katika uchaguzi mdogo wa Igunga. Hata hivyo hali yake imeelezwa kuwa nzuri na bado anaendelea na matibabu yake.<br />
<br />
Inasemekana kuwa ugonjwa unaomsumbua ni Nemonia.
<br />
<br />
 
Pole sana Kamanda.

Ila mbona kama huyu kamanda tokea atoke CUF mi namwona kama afya imedhoofika au? Hata wakati wa maandamano ya Mwanza nilimuona kama weak hivi!

kule cuf alikuwa anachakachua sana pesa za ruzuku mpaka akajenga lile gorofa lake pale kimara sasa huko uchagani(cdm) pesa zote zinatoka kwa saini ya mbowe na komu ( anthony),kwa nini asidhoof na hali hanusi tena?
 
Back
Top Bottom