Nyando
JF-Expert Member
- Jan 30, 2013
- 412
- 112
lowasa alipokelewa jimboni kwake kwa nderemo na vifijo, yaani kama mwokozi flani hivi, CHENGE na mafisadi wengine walipokelewa kama wafalme majimbono kwao.. sioni ajabu hata GAIDI HILI LWAKATARE likipokelewa kishujaa huko kwao kwa akina NSHOMIRE.... ni hulka ya waTZ kushabikia hata mijitu inayonuka kashfa za mauaji na ufisadi. kwa watanzania! tumezalisha another SUPERSTAA aliyetokana na upangaji wa mauaji ya wanahabari... pathetic.......................
Notradamme
Kati ya Rwakatare na Mwigulu gaidi nani? Tusubiri mahakama itatuonyesha gaidi ni nani acha papala zenu, mulichokidhamiria kitaanikwa hadharani sijui nyuso zenu mutazificha wapi itakapogundulika kwamba ni mambo ya kupika. Leteni mashahidi wenu fake hakimu au jaji mwenye uelewa atawagundua tu. Tutawafungulia mashitaka mbele za wapiga kura tuone unafiki wenu utakapowafisha. Endeleeni kuwawinda binadamu wenzenu kama wanyama pori kwa kuwapiga risasi, kuwang'oa meno na kucha kama mulivyomfanyia Dr.Ulimboka na Kibanda malipo yake mutakutana nayo mbele za watanzania na mwenyezi Mungu