Wilfred Muganyizi Rwakatare ''Engaju" anasubiriwa kwa hamu Bukoba!

Mh lakatare tumeanza namungu tunamaliza namungu mungu yuko kazini jembe letu peoplezzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz arusha tutakwenda bukoba tuko pamoja wanabukoba
 
KARIBU RAIS WA WAHAYA. CCM IMEISHAKUFA HUKU, YUPO hamis (mbunge) na aman (meya) wanapelekana kwa kaiyula nkuba ili wauane kisa ulafi wa madaraka na rushwa
 
Habari za kuachiwa kwa dhamana Mkurungenzi wa ulinzi na usalama wa Chadema na Mwenyekiti wa chama hicho mkoani Kagera Bw, W. M. Rwakatare maarufu hapa Bukoba kama "Egaju" zimeilipua Bukoba kwa furaha na sasa kila kona unayopita gumzo ni kuachiwa kwa mwanasiasa huyo aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Bukoba mjini.

Habari hizo zimezagaa ghafla kupitia mitandao ya kijamii na redio za hapa Kagera, isipokuwa redio ya Mh Kagasheki, redio Kasibante jina amabalo uhusishwa sana na mvutano wa kisiasa kati ya Kagasheki na Rwakatare. Jina la utani la Rwakatare "Engaju" linamaanisha ng'ombe mkubwa mwenye pembe ndefu maarufu sana mkoani Kagera wakitokea Uganda, na jina la redio "Kasibante" linamaanisha kumfunga ng'ombe.

Honi za magari zimepigwa na vjana wengi walilipuka kwa makelele baada ya kusikia habari hizo toka redio Vision iliyoko mjini Bukoba. Vijana wengi wamesikika wakisema "tunataka kuvunja rekodi yetu wenyewe ya mapokezi, maana Ccm hata akija nani hawezi vunja rekodi ya mapokezi ya Dr Slaa" aliongeza "tunataka kuuonyesha ulimwengu kuwa tulisikitishwa na kesi ya kipuuzi lakini iliyomtesa kamanda wetu, tutaisimamisha Bukoba siku hiyo" alisema kijana mmoja mwendesha pikipiki.

Mama mmoja mfanyakazi wa sharika la posta mkoani hapa amasema "hata bosi anajua kwamba siku ya kumpokea Rwakatare hawezi kuniona kazini, najua hawezi kunitakisha ubaya nitamuaga siku mmoja kabla" Amesema ndiyo haki imetendeka lakini wanataka kuonyesha ulimwengu kwamba watenda haki ni wengi. "Tunataka kumuonyesha huyo Mwigulu wao kwamba tunapenda haki na kuwa tunamsubiri kwa hamu siku akija hapa tutamzomea kwa kihaya"

Nitaendelea kuwajuza kinachoendelea hapa Bk.

Eego!!!!
 
Amajimbo goona g'abukoba na Kagera yoona, Magamba bye bye, Engaju tesibwa!
 
Gambaz wanastahili adhabu kali sana kwa unyama waliomfanyia Rwakatare chini ya mhandisi wa tukio hilo Mwigulu, jina ambalo kwa kabil langu linamaanisha mtu anayeishi darini.

Kama si Mungu yule wa Israel mambo yasingeenda hv ilivyo.
Huku Arusha wana Apollo huwa wanasema "Mungu Hanywi Chai", wakimaanisha Mungu si binadamu!
Naamini kabisa huyu Rwakatare akija Arusha mji utasimama kwa masaa kadha ili kupisha tukio hilo na nguvu za polisi hazitamtisha mtu.

Namhofia sana Rwakatare kwa habari ya Afya, maana anaweza kufanyiwa kitu ya aina aina kama ile ya Mwakyembe aisee!

Bwana asipoulinda mji, waulindao wakesha bure, Mungu tuliyemtanguliza atamwangazia Nuru.
 
Naomba chama kimpangie ratiba ya ziara mikoani shujaa wetu watanzania wanaham sana ya kumuona. Hii ni opportunity nyngne kwa CHADEMA. Lwakatare kuwekwa sero amefanya wanachama na mashabk wengi sana wa chadema na kawa maarufu tanzania nzima. Ana uwezo wa kugombea ubunge popote na kuchukua bila hata kupga kampeni. BIG UP LWAKA
 
Gambaz wanastahili adhabu kali sana kwa unyama waliomfanyia Rwakatare chini ya mhandisi wa tukio hilo Mwigulu, jina ambalo kwa kabil langu linamaanisha mtu anayeishi darini.

Kama si Mungu yule wa Israel mambo yasingeenda hv ilivyo.
Huku Arusha wana Apollo huwa wanasema "Mungu Hanywi Chai", wakimaanisha Mungu si binadamu!
Naamini kabisa huyu Rwakatare akija Arusha mji utasimama kwa masaa kadha ili kupisha tukio hilo na nguvu za polisi hazitamtisha mtu.

Namhofia sana Rwakatare kwa habari ya Afya, maana anaweza kufanyiwa kitu ya aina aina kama ile ya Mwakyembe aisee!

Bwana asipoulinda mji, waulindao wakesha bure, Mungu tuliyemtanguliza atamwangazia Nuru.
Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen
 
nauliza kwa mdau yeyote anayemfahamu zaidi mwigulu, je ana familia, kwa maana mke na watoto?
anafikiriaje kuhusu tuhuma alizompandikizia Lwakatare? haoni kama Lwakatare hakuteseka peke yake japokuwa pia hakustahili? Lwakatare bila shaka ana mke na watoto, sijui ni familia ya watu wangapi, ila kwa idadi yao mwigulu ajue mateso aliyopata Lwakatare si peke yake, ni kwa familia nzima achilia mbali ndugu jamaa na marafiki walioumizwa na jambo hilo kwa namna moja au nyingine. roho ya ya mwigulu ni ya ki-ibilisi sana, Mungu amsaidie ajitambue afunguliwe kwenye hivyo vifungo vya ibilisi.
 
Jana usiku nilipata kuongea na mama mmoja kwa simu akiwa Bukoba akaniambia kuna kikundi cha akina mama kinajiandaa siku Mwigulu akienda Bukoba watavua nguo na kumtupia kama ishara ya laana kwake. Kwa kihaya inaitwa 'kumkunamila' laana ambayo unaweza kumtupia mtu unayemchukia kuliko shetani.
 
Vijana nshamba wameamua kufunga maduka na kusherehekea kufunguliwa kwa kamanda wao. Na wengine wameshaanza safari kuelekea bukoba mjini kwani leo kibeta kolping maarufu kama kitimoto centre patakuwa hapatosho. karibuni makamanda
 
Mungu yuko daima na watenda haki,ingekuwa Lwakatare amefanya kosa asinge achiwa maana mungu wetu hadhihakiwi,
SASA WAKUBWA MWIGULU NA GENGE LAKE LA UAJI CCM WATATOKEA WAPI?
POPOTE WATZ TULIPO TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA CCM NI KANSA INAYOMALIZA RASLIMALI ZETU.
KARIBU KAMANDA MPIGANAJI
lowasa alipokelewa jimboni kwake kwa nderemo na vifijo, yaani kama mwokozi flani hivi, CHENGE na mafisadi wengine walipokelewa kama wafalme majimbono kwao.. sioni ajabu hata GAIDI HILI LWAKATARE likipokelewa kishujaa huko kwao kwa akina NSHOMIRE.... ni hulka ya waTZ kushabikia hata mijitu inayonuka kashfa za mauaji na ufisadi. kwa watanzania! tumezalisha another SUPERSTAA aliyetokana na upangaji wa mauaji ya wanahabari... pathetic.......................
 
Pole na Hongera Rwakatare, watesaji wa watu kwa kuwang'oa kucha na meno bila kutumia ganzi wamekwishkufanyia kampeini za kutosha.Huhitaji kutumia nguvu kubwa kurudisha jimbo la Bukoba mjini maana ni kama lipo wazi. Redio Kasibante tunawajua unafiki wao na ilianzishwa kwa lengo la kummaliza nguvu Rwakatare, achana nao watangaze wasitangaze nguvu yako iko pale pale na wapiga kura wanatambua umuhimu wako.

Angalia sasa wanavyozodoana wenyewe kwa wenyewe njoo ukachukue jimbo hili watu wa Bukoba wakajenge mji wao. Sidhani kama wanaweza kufanya kosa la kurudisha waimba taarabu za magomvi. wanabukoba wamechoka kusikia nyimbo za magomvi kati ya Amani na kagasheki
 
Habari za kuachiwa kwa dhamana Mkurungenzi wa ulinzi na usalama wa Chadema na Mwenyekiti wa chama hicho mkoani Kagera Bw, W. M. Rwakatare maarufu hapa Bukoba kama "Egaju" zimeilipua Bukoba kwa furaha na sasa kila kona unayopita gumzo ni kuachiwa kwa mwanasiasa huyo aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Bukoba mjini.

Habari hizo zimezagaa ghafla kupitia mitandao ya kijamii na redio za hapa Kagera, isipokuwa redio ya Mh Kagasheki, redio Kasibante jina amabalo uhusishwa sana na mvutano wa kisiasa kati ya Kagasheki na Rwakatare. Jina la utani la Rwakatare "Engaju" linamaanisha ng'ombe mkubwa mwenye pembe ndefu maarufu sana mkoani Kagera wakitokea Uganda, na jina la redio "Kasibante" linamaanisha kumfunga ng'ombe.

Honi za magari zimepigwa na vjana wengi walilipuka kwa makelele baada ya kusikia habari hizo toka redio Vision iliyoko mjini Bukoba. Vijana wengi wamesikika wakisema "tunataka kuvunja rekodi yetu wenyewe ya mapokezi, maana Ccm hata akija nani hawezi vunja rekodi ya mapokezi ya Dr Slaa" aliongeza "tunataka kuuonyesha ulimwengu kuwa tulisikitishwa na kesi ya kipuuzi lakini iliyomtesa kamanda wetu, tutaisimamisha Bukoba siku hiyo" alisema kijana mmoja mwendesha pikipiki.

Mama mmoja mfanyakazi wa sharika la posta mkoani hapa amasema "hata bosi anajua kwamba siku ya kumpokea Rwakatare hawezi kuniona kazini, najua hawezi kunitakisha ubaya nitamuaga siku mmoja kabla" Amesema ndiyo haki imetendeka lakini wanataka kuonyesha ulimwengu kwamba watenda haki ni wengi. "Tunataka kumuonyesha huyo Mwigulu wao kwamba tunapenda haki na kuwa tunamsubiri kwa hamu siku akija hapa tutamzomea kwa kihaya"

Nitaendelea kuwajuza kinachoendelea hapa Bk.

Kamanda hata mimi niko bukoba hapa. Habari ya hapa ni Lwakatare kuachiwa. Wanafuraha sana
 
Back
Top Bottom