figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,490
- 54,884
Nina watakia Waislam wote Nchini hususani wana Jimbo la Bukoba Mjini, Sikukuu njema ya Eid El Fitr- 2017. Iwe ya Amani Upendo na Mshikamano na tuyadumishe yote mema. Tuliyojifunza wakati wa toba.
Wilfred M. Lwakatare (MB)
Jimbo la Bukoba Mjini.