Ugumu wangu
JF-Expert Member
- May 6, 2021
- 1,685
- 3,549
Naomba kuuliza hii wilaya ya mbezi Beach imeundwa lini☹️☹️☹️☹️?
Hapo sawa nilitaka kushangaa sana kuwa mbezi beach ni wilaya yenye makao kabisaHizi ni wilaya za kikazi. Polisi, TANESCO na nahisi na DAWASA wana wilaya na mikoa yao kikazi
Nimeelewa mkuuHiyo ni wilaya ya ki Tanesco.. hao wana mikoa yao pia... mfano mkoa wa magomeni ama mkoa wa kinondoni..
Polisi pia wana mikoa yao na wilaya zao
Hiyo ni kanda am sure wamekoseaView attachment 1826165
Naomba kuuliza hii wilaya ya mbezi Beach imeundwa lini?
Kwa hiyo hapo Kuna makosa ya mwandishi au mtoa taarifa?Hiyo ni kanda am sure wamekosea
Kwa hiyo hapo Kuna makosa ya mwandishi au mtoa taarifa?Hiyo ni kanda am sure wamekosea
Hayo ndio madhara ya kukimbia shule baada ya kujua kusoma na kuandikaView attachment 1826165
Naomba kuuliza hii wilaya ya mbezi Beach imeundwa lini?
Ahsante mkuuWana mikoa yao na na wilaya zao hao mfano kwa polisi kinondoni ni mkoa na una RPC wake, ilala hivyo hivyo
Pole mkuu, wewe una elimu ya kutafuta kazi Ila wengine Wana elimu za kutafutwa wakafanye kaziHayo ndio madhara ya kukimbia shule baada ya kujua kusoma na kuandika
Sina hakika yawezekana ni wote ama mmojawapoKwa hiyo hapo Kuna makosa ya mwandishi au mtoa taarifa?
Nilikuwa vigwaza mita ya umeme inesema mkoa wa buguruniHiyo ni wilaya ya ki Tanesco.. hao wana mikoa yao pia... mfano mkoa wa magomeni ama mkoa wa kinondoni..
Polisi pia wana mikoa yao na wilaya zao
Duuh kazi kwelikweli😂😂😂Nilikuwa vigwaza mita ya umeme inesema mkoa wa buguruni
Na magari ya yanaenda pugu mkuu😂😂😂😂Umekuja na treni ipi? Ya Tazara au ya kati?
😂😂Na magari ya yanaenda pugu mkuu😂😂😂😂