Wilaya ya Mbarali Mbeya kwa nini umeme unakatika kila siku?

365

JF-Expert Member
Nov 28, 2014
1,377
1,453
meneja TANESCO MBARALI kama upo humu tunaomba maelezo yako haiwezekani kila siku umeme ukatike tena ukae zaidi ya masaa kumi bila kurudi...
 
Mtoa mada kama ulikuwa kichwani mwagu nilitaka kuandika hii issue mbarali umeme umekuwa kero wanakata hovyo hovyo kama jana alhamis tangu saa tatu unaludi saa tano kweli hii sio kabisa watu wana viwanda vyao vya kukoboa mpunga inabidi shughuli zisimame siku zima sio haki kabisa hii.
 
Waziri Nishati.. .Imekaeje hii ya kukatika katika umeme? Wakati wilaya ina Chanzo mbadala Cha Umeme power station? Unaotumika Nafco Mbarali(Estate baada ya ubinafishaji)???tena Umeme wa Maji? Kwa mbali jipu hilo!
 
Back
Top Bottom