Iyegu
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 6,276
- 12,397
Waliowahi kufika kongwa huenda wakakubaliana na Mimi.
Ukiacha sehemu nyingine kama kibaigwa,mbande,mkoka na mlali Kongwa mjini ni sehemu ambayo haistahiri kuwa hata tarafa,hakuna maendeleo yoyote yanayoonesha kama Jimbo hilo ni la spika wa bunge,nasikia amekaa zaidi ya miaka 20 kama mbunge wa jimbo hilo.
Sijui tatizo ni wagogo au nini
Mihanyeni.
Plata.
Ukiacha sehemu nyingine kama kibaigwa,mbande,mkoka na mlali Kongwa mjini ni sehemu ambayo haistahiri kuwa hata tarafa,hakuna maendeleo yoyote yanayoonesha kama Jimbo hilo ni la spika wa bunge,nasikia amekaa zaidi ya miaka 20 kama mbunge wa jimbo hilo.
Sijui tatizo ni wagogo au nini
Mihanyeni.
Plata.