BWANKU M BWANKU
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 320
- 412
"Wilaya ya Iramba mkoa wa Singida kupitia tozo za miamala ya simu ambazo Watanzania tunachangia kwenda kwenye maendeleo yetu tayari tumepokea shilingi Milioni 500 kwa ajili ya ujenzi wa vituo viwili vya afya katika kata ya Kisiriri na Tyegelo.
Tutasimamia fedha hizi ili zilete tija tarajiwa kwani fedha hizi zimetokana na tozo mpya ya miamala ya simu tunayokatwa wananchi.
Niwahakikishie wananchi wenzangu wa Iramba Serikali imedhamiria kuwapatia huduma bora wananchi wake."
Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mhe Suleiman Yusuph Mwenda.
Tutasimamia fedha hizi ili zilete tija tarajiwa kwani fedha hizi zimetokana na tozo mpya ya miamala ya simu tunayokatwa wananchi.
Niwahakikishie wananchi wenzangu wa Iramba Serikali imedhamiria kuwapatia huduma bora wananchi wake."
Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mhe Suleiman Yusuph Mwenda.