MAN OF CHANGES
JF-Expert Member
- Jan 9, 2011
- 507
- 191
Kwa hali ya kusikitisha na kukatisha tamaa wilayani hapa tangu jana saa saba usiku usiku mpka saa hii (tatu usiku) umeme umekatika na haijulikani ni saa ngapi au ni lini utarudi.kweli inasikitisha sana hasa unapofikiria kauli za viongozi wetu kwamba hakuna mgao,sasa hii ni nini?Nimewasiliana na jamaa wengine waliopo town ya Ar nao wanasema hawajauona pia tangu jana.