toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,627
Huu ujumbe uwafikie wahusika wa Dawasa popote mlipo.
Dawasa leo ni week ya nne wakazi wa Ubungo kibangu hawana maji wanayafata mabibo na tabata.
Leo ni wiki ya nne wakazi wa kibangu juu hawana maji hawajaona hata tone la maji majumbani kwao.
Wakazi wa ubungo hususan kibangu juu,baadhi maeneo ya Kimara na mbezi wanakaa hata week kadhaa bila kuona maji.
Wanaotia huruma ni watu wa kibangu juu week nne leo hawajaona hata tone la maji bombani sasahivi watu wanatoka kibangu wanafata maji Mabibo,riverside na tabata.
Hali ni tete halafu dawasa wapo kimya kama vile hawapo hii sio fair kabisa.
Dawasa leo ni week ya nne wakazi wa Ubungo kibangu hawana maji wanayafata mabibo na tabata.
Leo ni wiki ya nne wakazi wa kibangu juu hawana maji hawajaona hata tone la maji majumbani kwao.
Wakazi wa ubungo hususan kibangu juu,baadhi maeneo ya Kimara na mbezi wanakaa hata week kadhaa bila kuona maji.
Wanaotia huruma ni watu wa kibangu juu week nne leo hawajaona hata tone la maji bombani sasahivi watu wanatoka kibangu wanafata maji Mabibo,riverside na tabata.
Hali ni tete halafu dawasa wapo kimya kama vile hawapo hii sio fair kabisa.