But wait a minute WikileaksBONGO could you let us know who has edited these messages? I see a number of XXXXXXXXXXX on the names of some people. Are you suggesting that the cables originally submitted by the US Embassy had these XXXXXXX?
Ni Wikileaks wanafanya hivyo kwa usalama wa informer (Hoseah). Imagine hapo angetajwa kibosile akajua Hoseah alimsema. Pangechimbika
Dr.Hosea alishatamka hatoki N'GO. na jeuri ya kusema hivyo anaipata kutoka Mkwere. kama unabisha wewe JeuriThis is outrageous! Hoseah should quit straightaway, he is worse than a piece of furniture.
Thank you man. Hiyo ndiyo Tanzania with some people being untouchables!!!! Cha kuchekesha kumbe kwa standard za wenzetu hata airforce hatuna! Hiyo ndiyo Tanzania 50years after independence! Watu hawaguswi lakini ulinzi pia hakuna!
"He (Hoseah) called the deal 'dirty' and said it involved officials from the Ministry of Defence and at least one or two senior level military officers."
Mbona hajawahi kutwambia ni akina nani?
"He (Hoseah) noted that President Kikwete does not appear comfortable letting the law handle corruption cases which might implicate top-level officials." Huyu ndiye rais wenu!