WIKILEAKS: Mkapa alipinga Article 98

threadcritic

Member
Jul 12, 2011
27
1
Inaonekana Mkapa na JK walikuwa na mawazo tofauti on this issue. The rest ndio hiyo habari ya kuchukuliwa Kigamboni. Najiuliza ilikuwaje Mkapa alikuwa na uwezo wa kuwatolea nje hawa waamerika pamoja na presha zao?

Article 98 ---------- 3. (C) Minister Migiro took time out from the six-day ministerial retreat in Arusha chaired by President Kikwete (Ref A) and met with Ambassador Retzer to discuss peacekeeping and UN issues. The Ambassador outlined Ref B demarche and the advantages of concluding an Article 98 agreement with the United States. Migiro noted that as a signatory to the Rome Statute, Tanzania is committed to following the spirit of the agreement. The Ambassador pointed out that Article 98 had been included in the Rome Statute based on the understanding that a need for exceptions might arise. He emphasized that all but one of Tanzania,s neighbors (Kenya) have entered into Article 98 agreements with the U.S and have subsequently benefited from military training and military equipment grants that would otherwise not have been available. As the U.S and Tanzania,s bilateral military to military relationship grows, he noted, such opportunities could be augmented if Tanzania signed onto an Article 98 agreement. Migiro said she would look into the issue further and follow-up with the Ambassador.


Cable Viewer
 
naona thread ya Cables imefungwa BILA SABABU

inaonekana JF sasa ishafika ukingoni

Ukianzisha thread mpaka ifanyiwe editing...

zinaletwa tuhuma za trilioni 3 bila ushahidi

wikileaks cables japo zipo open lakini zinachakachuliwa

mbona hamtujuzi kulikoni?
 
Mimi bado niko kwenye Cable kwenye page 5 nafkiri na jamaa wanazungumzia walivyotuhonga ili kuweza kupata AFRICOM japo bado I;m still trying to disseminate the cable data regarding article 98

IMG_8372.JPG

Halafu inaonekana kumbe Foreign walikuwa na watu ma competent kama balozi LIBERATA MULAMULA maana nasoma exchanges na hawa hjamaa regarding HAMAS, IRAN, IAEA, SUDAN, na mengineyo...it looks like she never gave these Americans any carte Blanche

That can also be said of Aha Migiro alipo wa tell off siku za mwanzo alipoingia Foreign.Lakini pia inaonyesha kuwa its not as easy as it looks kule foreign ambako kuna kazi nyingi na hasa Tanzania inapokuwa kwenye Security Council and the pressure tunayopata toka kwa hawa jamaa ni ya ajabu sana na hasa hii ya airspace yetu na hiyo Article 98.

Lakini pia I sence some sort of arrogance na superiority complex ambayo wanaileta kwa ma ofisa wetu wanaodeal nao na wanapokutana na waliokuwa wameenda shule vizuri huwa wanashtuka sana na hasa wanapopewa demarches zisizo wazi toka kwetu

mie niko page 5 out of 14 of the cables


SUBJECT: AFRICOM CIVIL AFFAIRS TEAM'S SUCCESS ON THE SWAHILI COAST REF: A. DAR ES SAL 236 B. DAR ES SAL 235

http://www.wikileaks.ch/cable/2009/12/09DARESSALAAM868.html
 
hata rais ajaye itakuwa vigumu kuitawa tanzania kwani inanuka na mikataba yenye kuleta vita
 
Mimi bado niko kwenye Cable kwenye page 5 nafkiri na jamaa wanazungumzia walivyotuhonga ili kuweza kupata AFRICOM japo bado I;m still trying to disseminate the cable data regarding article 98

IMG_8372.JPG

Halafu inaonekana kumbe Foreign walikuwa na watu ma competent kama balozi LIBERATA MULAMULA maana nasoma exchanges na hawa hjamaa regarding HAMAS, IRAN, IAEA, SUDAN, na mengineyo...it looks like she never gave these Americans any carte Blanche

That can also be said of Aha Migiro alipo wa tell off siku za mwanzo alipoingia Foreign.Lakini pia inaonyesha kuwa its not as easy as it looks kule foreign ambako kuna kazi nyingi na hasa Tanzania inapokuwa kwenye Security Council and the pressure tunayopata toka kwa hawa jamaa ni ya ajabu sana na hasa hii ya airspace yetu na hiyo Article 98.

Lakini pia I sence some sort of arrogance na superiority complex ambayo wanaileta kwa ma ofisa wetu wanaodeal nao na wanapokutana na waliokuwa wameenda shule vizuri huwa wanashtuka sana na hasa wanapopewa demarches zisizo wazi toka kwetu

mie niko page 5 out of 14 of the cables


SUBJECT: AFRICOM CIVIL AFFAIRS TEAM'S SUCCESS ON THE SWAHILI COAST REF: A. DAR ES SAL 236 B. DAR ES SAL 235

Cable Viewer

Kuipinga pinga Marekani kwa kila kitu siyo sifa kama watu wanavyofikiri. Hasa ukiwa ni nchi isiyojiweza kama Tanzania. Watu wanatushangaa na kutuacha tufe masikini jeuri na kujitutumua kwetu huku.

Kama umemsoma Niccolo Machiavelli, utagundua kuwa unatakiwa u-seek alliance na tawala zenye nguvu zaidi yako na kupambana na zile tawala ambazo ziko saizi yako.
 
lakini reading btw the lines utaona kuwa kuna watu bado ni mapatriotic wa nchi hii pamoja na mishahara mbuzi wanayolipwa na wamekuwa mstari wa mbele kulinda heshma yetu regardless of the pressures and for that I'm proud of them
 
Mimi bado niko kwenye Cable kwenye page 5 nafkiri na jamaa wanazungumzia walivyotuhonga ili kuweza kupata AFRICOM japo bado I;m still trying to disseminate the cable data regarding article 98

IMG_8372.JPG

Halafu inaonekana kumbe Foreign walikuwa na watu ma competent kama balozi LIBERATA MULAMULA maana nasoma exchanges na hawa hjamaa regarding HAMAS, IRAN, IAEA, SUDAN, na mengineyo...it looks like she never gave these Americans any carte Blanche

That can also be said of Aha Migiro alipo wa tell off siku za mwanzo alipoingia Foreign.Lakini pia inaonyesha kuwa its not as easy as it looks kule foreign ambako kuna kazi nyingi na hasa Tanzania inapokuwa kwenye Security Council and the pressure tunayopata toka kwa hawa jamaa ni ya ajabu sana na hasa hii ya airspace yetu na hiyo Article 98.

Lakini pia I sence some sort of arrogance na superiority complex ambayo wanaileta kwa ma ofisa wetu wanaodeal nao na wanapokutana na waliokuwa wameenda shule vizuri huwa wanashtuka sana na hasa wanapopewa demarches zisizo wazi toka kwetu

mie niko page 5 out of 14 of the cables


SUBJECT: AFRICOM CIVIL AFFAIRS TEAM'S SUCCESS ON THE SWAHILI COAST REF: A. DAR ES SAL 236 B. DAR ES SAL 235

Cable Viewer


sidhani kama bado yuko Foreign bado huyu mama
 
ohh kanunuliwa siti mara ohh sijui niini

mbona hapa hajavaa hiyo suti mnayompakazia?

GO9G6293.JPG



 
Mimi bado niko kwenye Cable kwenye page 5 nafkiri na jamaa wanazungumzia walivyotuhonga ili kuweza kupata AFRICOM japo bado I;m still trying to disseminate the cable data regarding article 98

IMG_8372.JPG

Halafu inaonekana kumbe Foreign walikuwa na watu ma competent kama balozi LIBERATA MULAMULA maana nasoma exchanges na hawa hjamaa regarding HAMAS, IRAN, IAEA, SUDAN, na mengineyo...it looks like she never gave these Americans any carte Blanche

That can also be said of Aha Migiro alipo wa tell off siku za mwanzo alipoingia Foreign.Lakini pia inaonyesha kuwa its not as easy as it looks kule foreign ambako kuna kazi nyingi na hasa Tanzania inapokuwa kwenye Security Council and the pressure tunayopata toka kwa hawa jamaa ni ya ajabu sana na hasa hii ya airspace yetu na hiyo Article 98.

Lakini pia I sence some sort of arrogance na superiority complex ambayo wanaileta kwa ma ofisa wetu wanaodeal nao na wanapokutana na waliokuwa wameenda shule vizuri huwa wanashtuka sana na hasa wanapopewa demarches zisizo wazi toka kwetu

mie niko page 5 out of 14 of the cables


SUBJECT: AFRICOM CIVIL AFFAIRS TEAM'S SUCCESS ON THE SWAHILI COAST REF: A. DAR ES SAL 236 B. DAR ES SAL 235

Cable: 09DARESSALAAM868_a
Liberata Mulamula
 
Back
Top Bottom