The Tomorrow People
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 2,662
- 2,744
Kwa uzi huu,Lowasa anatakiwa kujitoa mara moja.Japo mimi nipo na Dr.Slaa mwanzo mwisho,ila sitaki kuona fisadi ikitamba kwa mihela yake.
Lowassa anapaswa kuwa jela.Hata Nyerere alizembea kumtia adabu ya vile viboko 12.
Mkuu bado upo kwa Dr slaa. Hahahahahahahahaaaa
##TwendeNaMagufuli