WikiLeaks: Kikwete aliwaombea Jairo na January Makamba mafunzo US

Mbona wengi sana wanasomeshwa na nchi za kigeni under institutional capacity building programmes.

Nadhani kila linalotoka WikiLeak sio scandal. Haya tuendelee kujifunza kupembua ili kutenganisha mchele na mchanga, kokoto, mawe; na pia tuendelee kujifunza kupepeta kutenganisha mchele na pumba.

You couldn't be more precise and right. Watu wanadhani weakleaks ni kashfa tu. Kuna shida gani kuwaombea watu wakanoe ujuzi wao wa kuchapa kazi? Can't we think about other issues of sigificance to our beloved nation? Angeomba Obama kwa Rais wa Tanzania mngesemaje?
 
Jamani kaazi ya wazungu Libya inakaribia kuisha hizi chokochoko isjekuwa wanataka kuhamia hapa kwetu wafanye kama wanayofanya Libya na kwingineko! Najiuliza kuwa kwanini mambo haya yote yatolewa kwa wakati huu? mmmh MUNGU tulinde wana wako

Tanzania waje wafanye nini,kwani nyie mna mafuta? Au hujui kua sera ya nje ya marekani ni kupora mafuta katika nchi zenye utajiri huo?
 
Wacha yawakute, wanapokua na hawa mabalozi wa Magharibi hua wanapenda kubwabwaja,
hawa jamaa wanakua kazini saa zote na kila mnachozungumza kinanakiliwa na ofisia wa ubalozi
wanaeambatana nao, wewe utaona yameisha lakini jamaa wanaweka katika kumbukumbu na
ndio hizo zinazoitwa diplomatic cables. Huyu Assange amefanya kuzitafuta na kuziweka hadharani
sasa zinawaumbua.
 
No wonder inakuwa ngumu kumtema Jairo kumbe ni close friend wa mkuu!
Naona hii sasa ni cinema kati ya Wikileaks na Salva yetu macho na masikio
 
Wamarekani, kama walivyo mataifa mengine, wana maslahi yao ya kudumu na wanatumia mianya (i.e weakness + loopholes) kufikia malengo yao. Sasa kama Tz ina mojawapo ya hizo malighafi bila shaka watazitumia na ndicho kilichoko hapa, Kikwete ni dhaifu sana sasa ukichangnya na ukosefu wa uzalendo wa TIS ndio inakuwa mbaya zaidi. Siwalaumu hata kidogo wanaomtumia na kisha kumdhalilisha Kikwete.
 
ohh kanunuliwa siti mara ohh sijui niini

mbona hapa hajavaa hiyo suti mnayompakazia?

GO9G6293.JPG



 
Unapokuwa ris rais hata kama ni kuomba msaad basi uombe msaada kama rais. Sasa msaada wa kusomesha watu wawili si hata Ikulu inaweza kulipia.

Ningeelewa kidogo kama raisi aliomba msaada kusomesha maofisa wa ikulu na ikulu ndogo zote nchini eg watu 100. Yaani awe anaomba kitu kama rais sio kama yeye ndiye myikulu wa magogoni. Watu wawili kuna haja ya msaada.??????!!!!!!


Ndio uwezo wake wa kufikiri ulipoishia hapo, msimlaumu sana!
 
jamani niliskia humu january kapigwa beat kutoingia marekeni asa ingekuwaje ama mlikuwa mnatudanganya maana ile post ilifutwa...
 
Inatakiwa watawala wetu wajifunze kwamba si kila kitu ni cha kuongea na hawa jamaa wa majuu. Teknolojia inawaumbua
 
Mbona wengi sana wanasomeshwa na nchi za kigeni under institutional capacity building programmes.

Nadhani kila linalotoka WikiLeak sio scandal. Haya tuendelee kujifunza kupembua ili kutenganisha mchele na mchanga, kokoto, mawe; na pia tuendelee kujifunza kupepeta kutenganisha mchele na pumba.

Nakubaliana na wewe 100%. Sio vibaya rais wa nchi kuomba utaalamu kama amejiridhisha kuwa unahitajika na ni kwa tija ya Taifa. Tatizo hapa ni kwa Mheshimiwa kwenda mbali zaidi na kuwa muamuzi kwamba nani aende hiyo safari ya mafunzo. Kama Rais, alitakiwa kuomba tu hiza nafasi. Akizipata, watendaji wake (KM Kiongozi) watapitia mkakati wa wizara na kuteua watakaohudhuria kutokana na mahitaji.

Alichofanya Mkulu cha kuwataja moja kwa moja watakaokwenda hiyo safari "mbele ya wahisani" inaweza kutafsiriwa vibaya kuwa anawapendelea hao watajwa kwa sababu maalum. Pia, KM Kiongozi anaweza kutafsiri kuwa ameingiliwa majukum yake na Mkulu. Kwa upande mwingine, hao waliochaguliwa wanaweza kuvimba vichwa na kumdharau KM Kiongozi kwa sababu ya ukaribu wao na Rais. Hii inaonuesha utendaji usio na taratibu za uongozi.

Pia, hata walengwa watakapokwenda kusoma, kutakuwa na fikra kwa wahisani kuwa hawa wamependelewa, sio kwa nafasi zao kikazi wala uwezo wao kichwani bali uhusiano wao na Mkulu. Ni mbaya kwa pande zote.
 
Jamani kaazi ya wazungu Libya inakaribia kuisha hizi chokochoko isjekuwa wanataka kuhamia hapa kwetu wafanye kama wanayofanya Libya na kwingineko! Najiuliza kuwa kwanini mambo haya yote yatolewa kwa wakati huu? mmmh MUNGU tulinde wana wako

Mkubwa your absolutely right very very right na mtazamo wako umekuwa wa hali ya juu. Kwa kuwa ukweli ni kwamba hakuna chochote cha maana juu story manake hii wala si Scandal sasa ni story isiyo na mana yoyote. Kweli tumwombe Mungu manake hii rangi nyeupe haina maana hata kidogo
 
Wale tuliokuwa wanafunzi wa sekondari, hivi ndivyo ilivyokuwa na huenda ndivyo ilivyo sasa hivi./


1. (C) President Kikwete has accepted gifts (bribes) from the owner of the Kempinski Hotel chain,s Tanzanian properties, a citizen of the United Arab Emirates.

2. (C) In a conversation with the manager and the publicity director of Dar Es Salaam,s Kilimanjaro-Kempinski Hotel hours after accompanying A/S Frazer to her October 18, 2005 meeting with then-Foreign Minister Kikwete, I commented on Kikwete's flashy attire, asking "Who dresses him?" "We do," they responded. Initially thinking this meant Kikwete frequented a men,s shop in the hotel, I learned later in the evening from hotel publicity director Lisa Pile (protect) that the hotel owner*UAE citizen Ali Albwardy*had recently flown Kikwete to London for a subsidized shopping expedition. Among other things, on that trip Ali Albwardy bought Kikwete five Saville Row suits. He had also recently made a $1 million cash contribution to the CCM (which is a legal contribution under current Tanzanian law).

3. (C) Pile told me the Kempinski Hotel chain is greatly expanding its presence in Tanzania. She said that in December it would open "the best hotel in Zanzibar." Her prediction was a little off; the new Kempinski hotel, located on the beach on Zanzibar,s east coast, opened January 5. I attended the opening ceremony along with Zanzibari President Karume, who was asked publicly by Ali Albwardy for a site in Stone Town to build a new hotel. Later that day, Pile revealed that the Zanzibar government had already earmarked for Ali Albwardy a hotel site in Stone Town.

4. (C) Pile also said in the October 18 conversation that Ali Abwardy was about to receive the rights to construct two new hotels on the mainland: one on the edge of Ngorongoro Crater and another on the Serengeti plain overlooking the main animal migration routes. Stringent conservation rules currently ban the construction of permanent structures inside national parks*including in the crater and on the Serengeti plain*but Pile said that in November legislation would be introduced to parliament to authorize the new hotels. (Comment: We have received no reports on new legislation, but the Dar Es Salaam Daily News on January 15 reported that the Tanzania National Parks Authority had approved construction of a five star hotel on the Serengeti plain.)

4. (C) Later on October 18, over dinner, an Indian/South Asian man described as a business associate of Ali Albwardy briefly took Pile from the table for a conversation in Kiswahili. I am not sure what was said, but Kikwete's name came up several times and he passed her an envelope. Pile told me the envelope was stuffed with 1 million shillings ( $1,000) and was to pay for a Kikwete meeting at the Kilmanjaro-Kempinski later that month. Apparently Kikwete is a regular customer, but no name ever appears on the hotel registry when a government bigshot has an "event" in one of the guest rooms.

5. (C) Bio Note: Lisa Pile, an Australian citizen, has lived in Dar working for Kempinski Hotels since early 2004. Before that she had served in a similar capacity with the Kempinski chain in China. Her family in Australia is prominent in Australia's Liberal Party (the center-right party of Prime Minister John Howard).

6. (C) Comment: What does it all mean? I don,t know, but my guess is that the investor Ali Albwardy has access to oil money out of the UAE. I suspect giving free clothes and the campaign donation is just the way these people do business.

7. (C) For his part, Kikwete probably thinks having all these five star hotels around is a good idea for the country,and I agree with him. His new minister of Natural Resources and Tourism, Anthony Diallo, says he wants to double tourism,s contribution to the national economy in ten year,s time. Kikwete probably believes there is no harm in taking these &little gifts8 to do what he would have been inclined to do anyway. That said, they are what they are: bribes.

WHITE
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom