WIKILEAKS: Insight Kuhusu Idara ya Uhamiaji na vyombo vya usalama

Mtazamaji

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
5,937
1,437
Katika Wikileaks cabale 06DARESSALAAM1944 tunaona namna mfumo wa taifa letu wa uhamiaji unavyofanya kazi, mapungufu yake na uwezo wake na mpinang yake. Siju tumefikia wapi

  • Tunano msisistizo na Mkazo mkubwa wa usalama uko kwenye POE za anga na Namanga pekee.
  • Tunaona ofisa wa uhamiaji uhamiaji akisema hakuna ushirikiano wa kupeana taarifa na vyombo vingine. Kosa ambalo wamrekani wanajutia mpaka leo
Baadhi ya Nukuu

In 2004, the GOT began developing the visa system and by early 2006, the GOT started to pilot the system at three major points of entry: Dar es Salaam International Airport (DIA), Kilimanjaro International Airport (KIA) and Zanzibar International Airport (ZIA). The GOT's plan is to deploy the system at over 50 points of entry and diplomatic missions abroad. He said that the Immigration Department had a system of "grading" entry points (large, medium and small) based on their size and that the system would be rolled out to the "large" entry points first over the next several years. A Dutch contractor developed and implemented the system but the GOT has provided full funding for the project, according to Ulongi.

........................................
Although Ulongi noted that the GOT had various watchlists, he explained that the GOT did not have any "master list" and that information sharing between Tanzania's police force, intelligence service and Immigration Department was limited. "The police and the Tanzanian Intelligence Service (TIS) are supposed to give us names for the Prohibited Immigrants Lists, but they often don't," he said, highlighting the relatively low level of information sharing within the GOT.............................

Soma cable kamili Zimefichuka » Blog Archive » GLOBAL PURSUIT OF TERRORIST INFORMATION
Au kaisome from original source Cable Viewer

Note:
taarifa hiyo imekuwa created 19.12.2006 . Where are we now?
 
Idara ya uhamiaji wanajua wakibanwa sana basi ule ulaji wa kutoa work permits bwerere utaisha
 
Sasa kama ni kweli mtuhumiwa wa kutorosha wanyama raia pakisatan ameweza kuondoka nchini tena kupitia uwanja wa nege DIA Basi ni kweli cable hiyo inavyosema . vyombo vya usalam havipeani habaari vinavyotakiwa kupeana. mambo yapo kama yalikyokuwa mwaka 2006.

Hilo ni Moja ya kosa walilfanya wamarekani na hivyo kujikuta kwenye matatizo ya September 11.

Tujiulize huyo raia wa pakistan kama kaweza kuondokea uwanja wa DIA( JKN) ni wahalifu wangapi wanaingia na kutoka kirahisi kupitia mipaka ya kagera, Kigoma, Tarime n kwingineko
 
Sasa kama ni kweli mtuhumiwa wa kutrshw awanyama raia paisatan ameweza kuonoaka nchini tena kupitia uwanja wa nege DIA Basi ni kweli cable hiyo inavyosema . vyombo vya usalam havipeani habri vinavyotakiwa kupeana. mambo bao yao kama 2006.

Hilo ni Moja ya kosa walilfanya wamrekani na hivyo kujikuta kwenye matatizo ya September 11.

Tujiulize huyo raia wa pakistan kama kaweza kuondoea uwanja wa IA ni wahalifu wangapi wanaingia na kutoka kirahisi kupitia mipaka ya kagera, Kigoma, Tarime,

Kuna aliwai kuingia na AK47 uwanja wa Mwalimu Nyerere Airport nikashangaa sana! Pale wapo kibisha zaidi na hasa kusumbua ngozi nyeusi tu.
 
Sasa kama ni kweli mtuhumiwa wa kutorosha wanyama raia pakisatan ameweza kuondoka nchini tena kupitia uwanja wa nege DIA Basi ni kweli cable hiyo inavyosema . vyombo vya usalam havipeani habaari vinavyotakiwa kupeana. mambo yapo kama yalikyokuwa mwaka 2006.

Hilo ni Moja ya kosa walilfanya wamarekani na hivyo kujikuta kwenye matatizo ya September 11.

Tujiulize huyo raia wa pakistan kama kaweza kuondokea uwanja wa DIA( JKN) ni wahalifu wangapi wanaingia na kutoka kirahisi kupitia mipaka ya kagera, Kigoma, Tarime n kwingineko

Mkuu mipaka yetu na forodha zetu ziko very porous. Ukisikia watanzania wanaokamatwa na dawa za kulevya nje wanaotoka DIA huwa wanapitia sehemu ya VIP, na wengine wakitaka kuingiza vitu visivyotakiwa kuingia wanapiga simu tu. Serikali ikiamua ku-deal na tatizo hilo inaweza, tatizo ni kuwa haitaki na haina haja.
 
Mkuu mipaka yetu na forodha zetu ziko very porous. Ukisikia watanzania wanaokamatwa na dawa za kulevya nje wanaotoka DIA huwa wanapitia sehemu ya VIP, na wengine wakitaka kuingiza vitu visivyotakiwa kuingia wanapiga simu tu. Serikali ikiamua ku-deal na tatizo hilo inaweza, tatizo ni kuwa haitaki na haina haja.

You may be right. nadhani binafsi nilishawahi kushuhuda kitu kama hii mara ya mwisho nilipowasilia JKN. Mdada mmoja Mswahili tumekuja na ndege moja alikuwa na masanduku makubwa kama matatu, na hakupita hata customs, wakamwambia asubiri hadi "mwenyeji" wake atokee.

Lakini binafsi customs walinisimamisha na kuniamuru nifungue masanduku yangu yote pamoja na kutaja gharama ya mali nilizokuja nazo ambazo nyingi zilikuwa ni vizawadi kwa mtoto, familia, ndugu na jamaa.

Hapohapo afisa wa customs ananiambia pembeni kwa Kiswahili nimpe kiasi fulani cha pesa aniruhusu nitoke, lakini baada ya kukataa ombi la rushwa, hapo ndipo ikazuka tafrani kubwa mbele ya Customs, Polisi na abiria wengine ambayo ilidumu kwa saa kama mbili ambapo baadaye niling'amua kuwa sitashinda game na ikabidi nilipe tu kodi waliyodai yote kulingana na kuropoka kwangu tu thamani ya mali niliyokuwa nayo, baada ya wao kuniuliza trick question yao eti una mali ya thamani gani kwenye mzigo wako? Yote hayo yanafanyika huku yule mdada mwenye masanduku manne makubwa tuliyekuja ndege moja ametulia tuli pembeni akisubiri mpambe wake aje kumwokoa mbele ya Customs, TRA na Polisi. Nimeondoka airport, yule mdada nimemwacha na masanduku yake amabayo customs hawakudiriki kuyachunguza kama walivyonifanyia,sembuse Wazungu kibao na watu wengine wenye ngozi nyeupe ambao wote waliruhusiwa kupita bila mizengwe.
 
Uhamiaji ifumuliwe! Imeoza kabisa kwa rushwa! Hawana mbinu kugundua wadanganyifu na watumishi wengine wanajua ukweli lakini ndio system ya ulaji!
 
Back
Top Bottom