WIKILEAKS: Asemavyo Kikwete kuhusu CCM Zanzibar

Yombayomba

JF-Expert Member
Aug 23, 2006
818
214
¶10. (C) President Kikwete offered his own insight on the
root cause of Zanzibar's political distress: over-reliance on
the State. He explained that the political leadership on
Zanzibar put too much focus on the State instead of using
democratic means and good leadership. "In elective politics,
you may not be able to prevent change. There are limits to
what the State can and cannot do." Kikwete emphasized that
at the end of the day, in a democratic system, people want to
elect a good leader who they feel can help them sort out
their problems. The leader, however, must go out and
convince the people because it is the people who vote, not
the State."
Ambassador Congratulates GOT on MCA Compact
 
Hii imekaa aje? Eti ccm Zanzibar inategemea mno dola kukipa ushindi badala ya "kujiuza" kwa wapiga kura. Kweli si kweli?
 
Hii imekaa aje? Eti ccm Zanzibar inategemea mno dola kukipa ushindi badala ya "kujiuza" kwa wapiga kura. Kweli si kweli?
Hili liko wazi kabisa na siyo kwa Zanzibar peke yake bali ni kwa Tanzania nzima, hasa baada ya CCM kupoteza mvuto kwa wananchi ambao ndiyo wapiga kura, Kilichobaki ni kutegemea dola tu kukipa ushindi.
 
Nashindwa kuelewa kuna nini hapa, ina maana wikiliks walikuwa na mambo mengi na mazito namna hii. Kikwete na CCM kaeni chonjo.
 
ohh kanunuliwa siti mara ohh sijui niini

mbona hapa hajavaa hiyo suti mnayompakazia?

GO9G6293.JPG



 
Lakini nayeye sikafanya huo mtindo the last election.!!! Hey Ulinkaha Salva? come out mshaija and say big NO to Wikileaks
 
¶10. (C) President Kikwete offered his own insight on the
root cause of Zanzibar's political distress: over-reliance on
the State. He explained that the political leadership on
Zanzibar put too much focus on the State instead of using
democratic means and good leadership. "In elective politics,
you may not be able to prevent change. There are limits to
what the State can and cannot do." Kikwete emphasized that
at the end of the day, in a democratic system, people want to
elect a good leader who they feel can help them sort out
their problems. The leader, however, must go out and
convince the people because it is the people who vote, not
the State."
Ambassador Congratulates GOT on MCA Compact
Kuna kosa au tatizo gani maelezo ya JK?
 
Back
Top Bottom