Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,745
- 7,773

baada ya utambulisho na wenyeji kuwapa muda 'mjisikie mpo nyumbani' , Baba mkwe anakutupia swali la papo kwa papo; ..." eti kijana, iwapo tumepata ajali majini, na uwezo wako kumuoka mtu mmoja tu, utamuokoa nani kati yangu, mama mkwe, mkeo au mwanao?"
Ingelikuwa weye ungejibu nini?