<br />Maeneo ninayoyajua kwa sasa ni Chako-Ni-Chako bar, Younique Pub, Rose Garden Bar.
<br /><br /><br />
<br /><br />
yaani kuna maeneo mengine ya kula bata zaidi ya hayo? Nina wiki 6 tu hapa.
<br /><br /><br />
<br /><br />
yaani kuna maeneo mengine ya kula bata zaidi ya hayo? Nina wiki 6 tu hapa.
<br /><br /><br />
<br /><br />
Saba-Saba si huwa wanauza mitumba au unamaanisha Mnadani?
iko karibu na booking office za kampuni ya hood<br />
<br />
Maisha club iko pande zipi mkuu?
<br /><br /><br />
<br /><br />
mpwapwa.
<br />iko karibu na booking office za kampuni ya hood
<br /><br /><br />
<br /><br />
kumbe Mpwapwa kuna bata?