Hivi output ya Hayo mashindano ya shimiwi ni nini kwa mtanzani wa kawaida? zaidi ya kuteketeza kodi zao na kunufaisha wachache.....
Hayo mashindano hayana maana yoyote! Badala watu wakae maofisini wafanye kazi eti wako viwanjani wanashindana football, netball na kuvuta kamba! Jamani kuna mitanzania mijinga mpaka inatia hasira! Football wanafungwa taifa stars itakuwa ya shimiwi! Wizara zinaingia gharama kusafirisha na kulipa wafanyakazi per diem kwenda kushindana kuvuta kamba! Yaani watanzania hatuna priorities tunaburuzana tu bila kujua tuendako.
Nakusifia kwa kukataa Kufoji ila mkuu huna kweli hata kamchezo kokote unakoweza kucheza? Afya yako itakuletea mgogoro ambao utaigarimu taasisi yako zaidi...mmh hebu cheki BODY MASS INDEX (BMR) yako inaweza kukushawishi utafute mchezo wa kucheza ili mwaka kesho nawewe ukale hizo (PERDIEM)ofisc kwetu wameniteua kwenda shimiwi Tabora kwa wiki mbili and then Morogoro wakati mm hakuna hata mchezo ninaoucheza nimekataa kwenda siwezi kufoji hela za walipa kodi bure