mutisya mutambu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2010
- 208
- 82
nashangazwa sana na mambo jinsi yanavyokwenda na nashidwa kuelewa nini maana yake.utakumbuka toka uchaguzi tar 31 ni wiki ya nne sasa,lakini yaliyofanyika hayaendani kabisa na muda wenyewe.mambo yanapelekwa polepole,tukio moja leo lingine baada ya wiki kupita.kinachomfanya asitangaze serikali muda wote huu waanze kazi mapema ni nini? watu wake aliorudi nao ni walewale sasa hawafahamu,au ni kuspend tu mpaka atakapojisikia.au anafikiri miaka mitano ni mingi kivile mkumbusheni kwamba ndio imeanza kujihesabia vile awe makini vijana wa sasa ni wengi na hawana mchezo wanafatilia mambo kwa karibu sana,namtakia kila laheri,tunategemea serikali ya maana isiyo mzigo kwa serikali