Mzee wa kusawazisha
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,587
- 1,136
Wakuu nimemaliza chuo mwaka Jana mwezi wa 8 dhamira yangu nikimaliza chuo nioe fasta Maana kukaa kitaa bachelor sikupenda.
Nilidet na muhaya Toka mwaka Jana Leo hii wiki ya 4 Toka nimemsafirisha nipo nae kusini huku.. Najisikia raha Sana nawashauri vijana wenzangu msiogope kuoa ndo hatua yenyewe ya kuanza safari yako ya mafanikio endapo utapata mtu sahihi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilidet na muhaya Toka mwaka Jana Leo hii wiki ya 4 Toka nimemsafirisha nipo nae kusini huku.. Najisikia raha Sana nawashauri vijana wenzangu msiogope kuoa ndo hatua yenyewe ya kuanza safari yako ya mafanikio endapo utapata mtu sahihi
Sent using Jamii Forums mobile app