Mzee wa kusawazisha
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,587
- 1,136
- Thread starter
- #21
Hahahah my frendeee! Subiria idawa yako iko jikoni
Sawa mzeee ila hujui tu miondoko ya huyu mlimbwende wa kihayaHahahah my frendeee! Subiria idawa yako iko jikoni
Miondoko yake ipi mkuu, mwanamke ni mwanamke tu! Akifika 23-25 hapo ulete mrejesho! Jinsi mirindimo inavyokwenda hapo mjengoni!
Usisahau Kutupa Mrejesho Baada ya Miaka Miwili Kupita Maana Huo Ndio Muda Sahihi wa Kujua Mapungufu Juu Ya Mtu Ulie Nae.
Huyu Kwanza nataka nimtaght kila idara hawezi fanya lolote najikubali SanaMiondoko yake ipi mkuu, mwanamke ni mwanamke tu! Akifika 23-25 hapo ulete mrejesho! Jinsi mirindimo inavyokwenda hapo mjengoni!
Ikipita miezi 3 usisahau kuleta mrejesho..!!Wakuu nimemaliza chuo mwaka Jana mwezi wa 8 dhamira yangu nikimaliza chuo nioe fasta Maana kukaa kitaa bachelor sikupenda.
Nilidet na muhaya Toka mwaka Jana Leo hii wiki ya 4 Toka nimemsafirisha nipo nae kusini huku.. Najisikia raha Sana nawashauri vijana wenzangu msiogope kuoa ndo hatua yenyewe ya kuanza safari yako ya mafanikio endapo utapata mtu sahihi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mapenzi upofu. Jamaa anavyojibu watu kihuni hapa utadhani hio ndoa ni kati ya malaika na binadamu kwamba malaika hawezi kosea kabsa.
Alfu dogo kila siku anaongeza wigo wa ufundi kiliwakilisha kabila lake istoshe dogo Ana hofu ya Mungu
Kuna mwenzio alirubuni kabinti baada ya form 6 akakaoa kabisa na kukazalisha mtoto. Kamekuja kuanza first year kana mtoto mdogo.Huyu Kwanza nataka nimtaght kila idara hawezi fanya lolote najikubali Sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kuchepuka na kukudharau ni kukosea tu, kakianza kusumbua ndan ya kaya ni kukosea tu uvumilie na kumaliza kikubwa.Kumbe ushasema kukosea izo tunazitatua mbona Asha zingua kabla hajafika hapa kusini. Ila nimeyamaliza kikubwa kujiandaa tu kwa lolote
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu nimemaliza chuo mwaka Jana mwezi wa 8 dhamira yangu nikimaliza chuo nioe fasta Maana kukaa kitaa bachelor sikupenda.
Nilidet na muhaya Toka mwaka Jana Leo hii wiki ya 4 Toka nimemsafirisha nipo nae kusini huku.. Najisikia raha Sana nawashauri vijana wenzangu msiogope kuoa ndo hatua yenyewe ya kuanza safari yako ya mafanikio endapo utapata mtu sahihi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mwenzio alirubuni kabinti baada ya form 6 akakaoa kabisa na kukazalisha mtoto. Kamekuja kuanza first year kana mtoto mdogo.
Baada ya binti kufika mwaka wa pili stress kali sana akaanza kutoa mbwa nje, wahuni kibao wamepasua pamoja na kwamba ana pete yake kidoleni. Siongei kukutisha ila ndio uhalisia, utapooa binti kabla hajakomaa atapofikia ile age amekomaa kiakili ataanza kuangalia aina ya mwanaume ambaye angependa kuwa nae.
Too bad binti atajikuta kashatiwa katika kifungo na mtu ambaye anaona sio type ambayo angependa kuspend nae rest of her life. Hapo ndipo utamu ufakapoanza. 21 yrs old girl bado ni light headed haja mature sawa sawa kufanya maamuzi makubwa kiasi hiko hasa wale ambao hawakuwa exposed sana na maisha.
Probability ni wewe umem drag katika fantasies za ndoa na kumfanya ahisi kuwa ni jambo jepesi jepesi tu ili umpate kusitiri nyege zako. Sasa akili yake ikishachemka vyema akagundua wewe sio mtu wa ndoto zake jiandae tu. About 2 years ahead!
Hata kuchepuka na kukudharau ni kukosea tu, kakianza kusumbua ndan ya kaya ni kukosea tu uvumilie na kumaliza kikubwa.
Lidada kunywa novida hapo nakuja kulipa soonMzee wa kusawazisha hongera.