Bosi wangu alikamatwa na Polisi tarehe 28 mwezi May 2019. Akalala mahabusu siku 3 akatoka kwa dhamana. Lakini tangu hapo anaambiwa aripoti polisi kila wiki ila kesi bado haijapelekwa mahakamani hadi leo.
Mtu aliyeshitaki anaidai kampuni na sio mtu binafsi aliyekamatwa,...lakini yeye akaenda kumkamata kiongozi wa kampuni na kusema amejipatia hela kwa njia ya udanganyifu.
Tunatafuta ushauri wa kisheria tufanyeje ili kesi ipelekwe mahakamani ambako ndiko haki hupatikana?
Mtu aliyeshitaki anaidai kampuni na sio mtu binafsi aliyekamatwa,...lakini yeye akaenda kumkamata kiongozi wa kampuni na kusema amejipatia hela kwa njia ya udanganyifu.
Tunatafuta ushauri wa kisheria tufanyeje ili kesi ipelekwe mahakamani ambako ndiko haki hupatikana?