Wiki moja kabla ya Machozi... Zitto???

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,462
39,929
Wiki moja kabla ya kifo cha Wangwe habari ziliingia kwa njia ya sms zikiwa na ujumbe uliokuwa unamaudhui yafuatayo "tumempoteza mpambanaji mwenzetu Zitto"! Ujumbe huo ulikuwa ni kutaarifu juu ya kifo cha Zitto aliyekuwa safarini Kenya wakati huo.

"Ka Nzi" ka KLHN ambako hakatii kanuni ya muda kameweza kurudi nyuma hadi masaa machache baada ya Zitto kupanda ndege kwenda Kenya; Watu watatu walikuwa wanamfuata. Aligundua anafuatwa walipofika Kenya kwani watu hao walionekana Airport na baadaye Hotelini. Na hata siku ya sms alipokuwa Mombasa watu hao walionekana tena. Zitto aliamini kuwa ni watu wa usalama wa taifa letu (siyo kitu kigeni kufuatwa kama ulinzi). Hakuna na shaka.

Hadi pale sms ilipotumwa ikiwa na taarif hiyo na kwa hakika habari zilikuwa ziendane na ajali. Bahati nzuri (mbaya kwao) ujumbe ulitumwa kabla ya tukio na hivyo alipopigiwa simu kuulizwa kama ni mzima alishangaa kuulizwa kwani alikuwa ni mzima kabisa. Ndipo ika "click". Imetonywa toka vyanzo ndani ya wana usalama kuwa Zitto alipiga simu kuulizia kama kuna "tail" ya UwT na akaambiwa la hasha hakukuwa na mtu/watu waliotumwa na taasisi hiyo kumpatia ulinzi au kumfuatilia.

Mara moja mipango ya kurudi Tanzania haraka ikafanywa na kubadilisha itenerary yake kwa kutumia kile ambacho kinaitwa kama "diversion measures" na kuweza kumrudisha Zitto Tanzania salama na kuevade potential threat. Mtu mmoja aliyeshiriki katika kuhahakisha Zitto anarudi salama na kupewa Ulinzi alitamka kwa uhakika sana "Hawa jamaa wanataka kuua mtu, hatujui ni nani".

Taarifa hizi zilipelekwa kwa IGP na Rashid Othman (refer barua ya Mnyika). Kiongozi ambaye inaonekana alikuwa the most vulnerable. Ni sawa na ndege aliyepweke ndiye mwenye kupigwa na manati! na kama Mbugani ni mnyama dhaifu na anayeenda peke ni rahisi kutafunwa na simba.

Vyanzo hivyo vinanong'oneza kuwa ya Zitto ingekuwa ni ajali iliyotokea nje ya nchi na hivyo almost impossible to associate na foul play. Na kwa maoni ya vyanzo hivyo isije kushangazwa kuwa jambo kama hilo linatokea nje ya nchi (hasa nchi za majirani) na hivyo kufanya uharamia huo kwenda nje ya mipaka yetu.

Nilikuwa na maswali mengine mengi, na ka nzi kamepeperuka! and I'm out!
 
Duh,mkuu inatisha. Mungu yupo upande wetu na aliamua kuwaumbua mapema kabisa.Nakwambia hili taifa letu huku linakopelekwa ni kubaya hasa.Ukiona vitu vitakavyowalazimu watu kuingia mitaani umafia kama huu.

Leo hii vijana wanao-graduate kutoka vyuoni na wenye kutaka kuitumikia nchi yao kupitia siasa wanakumbana na maonyo mengi kutoka kwa ndugu,jamaa na marafiki.Ni hali ambayo inasababisha hofu na kuifanya Tanzania kukosa vijana ambao ni potential leaders kutokana umafiosoo unaofanywa na wasiolitakia mema taifa hili.

Pia nitoe wito kwa wale vijana wanaoona kwamba wana uwezo kusimama kuchukua fomu za Udiwani na Ubunge hapo 2010 wajiandae na wasiogope chochote ili tuwe wengi na kuzidisha mapambano.Tumzingire adui kila upande hadi ajiokoe kwa ku-surrender.Rejea moto wangu hapa chini!
 
yeah.... ila coincidences zikiwa zinaandama watu wa aina fulani then hao jamaa wana bahati mbaya sana. Kuna details nyingine "ka nzi" hakataki kusema...
 
yeah.... ila coincidences zikiwa zinaandama watu wa aina fulani then hao jamaa wana bahati mbaya sana. Kuna details nyingine "ka nzi" hakataki kusema...

hako "ka nzi" tukafanye nini ili kaseme hayo ambayo hakataki kusema......ngoja nikatafute ile dawa yangu ya nzi....
 
yeah.... ila coincidences zikiwa zinaandama watu wa aina fulani then hao jamaa wana bahati mbaya sana. Kuna details nyingine "ka nzi" hakataki kusema...


Nashangaa hata hizo coincidence zinapowakuta watu wema na mashujaa wa taifa letu tu.Hata siku moja hazijawahi kuwakuat akian RA wala Chenge,Mramba au na hata Nchimbi.
 
Mkuu Mwanakijiji mtata sana...

Najua ka-nzi hakataki kuzisema other details for now lakini eventually zote zitawekwa barazani... Patience is one of our virtue here at JF.
 
Ka Inzi hako wasije wakakimwagia dawa ya Expel kikafa kipatie expel proof MKJJ

Pole Mh. ZK
 
Wiki moja kabla ya kifo cha Wangwe habari ziliingia kwa njia ya sms zikiwa na ujumbe uliokuwa unamaudhui yafuatayo "tumempoteza mpambanaji mwenzetu Zitto"! Ujumbe huo ulikuwa ni kutaarifu juu ya kifo cha Zitto aliyekuwa safarini Kenya wakati huo.

"Ka Nzi" ka KLHN ambako hakatii kanuni ya muda kameweza kurudi nyuma hadi masaa machache baada ya Zitto kupanda ndege kwenda Kenya; Watu watatu walikuwa wanamfuata. Aligundua anafuatwa walipofika Kenya kwani watu hao walionekana Airport na baadaye Hotelini. Na hata siku ya sms alipokuwa Mombasa watu hao walionekana tena. Zitto aliamini kuwa ni watu wa usalama wa taifa letu (siyo kitu kigeni kufuatwa kama ulinzi). Hakuna na shaka.

Hadi pale sms ilipotumwa ikiwa na taarif hiyo na kwa hakika habari zilikuwa ziendane na ajali. Bahati nzuri (mbaya kwao) ujumbe ulitumwa kabla ya tukio na hivyo alipopigiwa simu kuulizwa kama ni mzima alishangaa kuulizwa kwani alikuwa ni mzima kabisa. Ndipo ika "click". Imetonywa toka vyanzo ndani ya wana usalama kuwa Zitto alipiga simu kuulizia kama kuna "tail" ya UwT na akaambiwa la hasha hakukuwa na mtu/watu waliotumwa na taasisi hiyo kumpatia ulinzi au kumfuatilia.

Mara moja mipango ya kurudi Tanzania haraka ikafanywa na kubadilisha itenerary yake kwa kutumia kile ambacho kinaitwa kama "diversion measures" na kuweza kumrudisha Zitto Tanzania salama na kuevade potential threat. Mtu mmoja aliyeshiriki katika kuhahakisha Zitto anarudi salama na kupewa Ulinzi alitamka kwa uhakika sana "Hawa jamaa wanataka kuua mtu, hatujui ni nani".

Taarifa hizi zilipelekwa kwa IGP na Rashid Othman (refer barua ya Mnyika). Kiongozi ambaye inaonekana alikuwa the most vulnerable. Ni sawa na ndege aliyepweke ndiye mwenye kupigwa na manati! na kama Mbugani ni mnyama dhaifu na anayeenda peke ni rahisi kutafunwa na simba.

Vyanzo hivyo vinanong'oneza kuwa ya Zitto ingekuwa ni ajali iliyotokea nje ya nchi na hivyo almost impossible to associate na foul play. Na kwa maoni ya vyanzo hivyo isije kushangazwa kuwa jambo kama hilo linatokea nje ya nchi (hasa nchi za majirani) na hivyo kufanya uharamia huo kwenda nje ya mipaka yetu.

Nilikuwa na maswali mengine mengi, na ka nzi kamepeperuka! and I'm out!

Nimeshasema Tanzania sasa kuna mafioso ambao watahakikisha wanasiasa wote wa upinzani kwao wanauwawa. Inatisha sana kuona kwamba kuna baadhi ya watu wamefikia hatua ya kuamua kuua ili kupoteza ushahidi juu ya ufisadi (Ballali) au kuwamaliza wale ambao ni tishio kwa wao kuendelea kuwa madarakani na chama chao cha kifisadi
 
Mkuu Mwanakijiji mtata sana...

Najua ka-nzi hakataki kuzisema other details for now lakini eventually zote zitawekwa barazani... Patience is one of our virtue here at JF.

Mkuu Mzozo wa Mizozo yenyewe...Kama wewe ni mpenzi wa filosofia tupo pamoja....Na kama wewe pia ni mpenzi wa saikolojia...Pia tupo pamoja...Kwenye saikolojia kuna kitu kuwa right brained and left brained kind of people...Na mara nyingi inakuwa ni opposite....Yani watu wenye right brain wanakuwa wanatumia mkono wa kushoto na watu wenye left brained wanakuwa ni watumiaji wa mkono wa kulia...Watu wa aina hizo mbili wana sifa na vipaji tofauti ambavyo vikitumika hapa...Basi tutaweza kusolve matatizo yetu mengi sana...Mimi binafsi ni left brained na mimi mkono wangu ni wa kulia...Na sifa ama main characteristic ya watu wenye left brained na wenye kutumia mkono wa kulia ni watu wa LOGIC....Mjadala uendelee na tuombe Mungu kainzi hako ka MKJJ kasipigwe DUMU na Nyani Ngabu kwani bado tunakahitaji hapa.
 
Nimeshasema Tanzania sasa kuna mafioso ambao watahakikisha wanasiasa wote wa upinzani kwao wanauwawa. Inatisha sana kuona kwamba kuna baadhi ya watu wamefikia hatua ya kuamua kuua ili kupoteza ushahidi juu ya ufisadi (Ballali) au kuwamaliza wale ambao ni tishio kwa wao kuendelea kuwa madarakani na chama chao cha kifisadi

Mkuu Heshima kubwa kwako,

kwa kweli hata mimi limenishtua lakini nikuhakikishie jambo moja mkuu wangu,Hilo jambo au wazo la wao kutaka kuua wanaharakati wote wa kupambana na ufisadi,ukandamizaji,unyonyaji,Dhuluma na hila chafu halitafanikiwa.Huo ni mkakati ambao umeshindwa kwani hata sasa kuna watu ambao wamejitolea kwa hali na mali kuhakikisha mapinduzi au mageuzi makubwa ya kisiasa na kiuchumi yanatokea nchini.


Natamani kama siku moja kila mmoja akiogopa kufa na kuamua kabisa kusimama kidete kwa njia yoyote iwe ni kugombea udiwani,ubunge,kuanzisha NGO za kutoa elimu ya uraia au za kuchochea mageuzi ya kifikra kwa wananchi ili mradi unatoa mchango wa kupambana na maadui wa taifa letu.hii iwe ni vita ya kupambana na ufisadi popote pale katika taifa hili.Huu umafiosoo wao utashindwa vibaya sana maanke sijui wataua wangapi.
 
mwanakijiji,if you had been in the STALIN era,definately,definately you would have been exiled to SIBERIA
 
Mwana Kijiji unanitisha sasa, hivi kama ni kweli mambo yenyewe ndo haya tutafikia malengo kweli?? Kama anapotokea shujaa wa kutupigania sisi watoka vumbi alafu baada ya muda watu wenye nia mbaya na nchi hii wanataka kuwaondoa duniani itakuwaje??
Muogopeni Mungu jamani, mnasahau kuwa kila nafsi itaonja mauti, uharamia mnaotaka kuufanya hapa duniani angalau tu muendelee kujinufaisha nyie na familia zenu kwa kisingizio cha kulinda maslahi ya nchi ni mbaya sana kweli kabisa ni mbaya sana, any way wacha niendelee kuamini kuwa MUNGU ANA MAKUSUDI YAKE KWA KILA JAMBO
 
Jamani, Tanzania hii tunakwenda wapi? kama kweli hawa wanaotetea taifa letu wanawindwa, sijui jamani tunaelekea wapi
 
Mkuu Mzozo wa Mizozo yenyewe...Kama wewe ni mpenzi wa filosofia tupo pamoja....Na kama wewe pia ni mpenzi wa saikolojia...Pia tupo pamoja...Kwenye saikolojia kuna kitu kuwa right brained and left brained kind of people...Na mara nyingi inakuwa ni opposite....Yani watu wenye right brain wanakuwa wanatumia mkono wa kushoto na watu wenye left brained wanakuwa ni watumiaji wa mkono wa kulia...Watu wa aina hizo mbili wana sifa na vipaji tofauti ambavyo vikitumika hapa...Basi tutaweza kusolve matatizo yetu mengi sana...Mimi binafsi ni left brained na mimi mkono wangu ni wa kulia...Na sifa ama main characteristic ya watu wenye left brained na wenye kutumia mkono wa kulia ni watu wa LOGIC....Mjadala uendelee na tuombe Mungu kainzi hako ka MKJJ kasipigwe DUMU na Nyani Ngabu kwani bado tunakahitaji hapa.

Kaka JMushi... Umenena vema na nina hakika hapa mjadala mzima utaenda hatua kwa hatua mpaka utata utakapoamua kutatuka. Katika Saikolojia ulioishusha hapo chini ni kama kunena kwamba kuna pande mbili za shilingi, mimi ni Right Brain nikiwa natumia mkono wa Kushoto... Combination ya hivo vitu viwili inawezekana kupata mtu ambaye anatumia mikono yote na Bongo za Pande zote...

Nyani Ngabu atafika tu lakini nina uhakika hawezi akakapiga kainzi ka MKJJ kabla ya mjadala kufunua yaliyofichika.
 
And should we wonder why Sokoine's departure remain to be mystery todate from 1984........

Also if Balali is gone or still breathing!!!!!!!!!!
 
With due respect!hivi huyu Zitto hata hapa JF ana wapambe au ndio tumesahau jukumu letu la kutetea maslahi ya wadanganyika? maana even a blind can see that he's being pampered.Achilia mbali kina Lipumba hata Prof.Wangwe amekana taarifa yake ya hali ya mazishi ya MP Wangwe.Pamoja na Mzee Mwanakijiji kumpamba kwa matukio ambayo hayawezi kuwa accounted for, ukweli unabaki hakusema ukweli kuhusu kukichojiri Tarime.Na sijui kama huyu anaweza kusimama kama mtetezi wa wadanganyika,he's simply not credible.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom