Am a star
Senior Member
- Sep 22, 2015
- 167
- 158
Natumaini mko vizuri wote!
Niende kwenye maada moja kwa moja,.
NAJUA week moja ya kampeni kwa wale wanaotaka kugombea kwa mara ya kwanza uenyekiti, inawapa changamoto sana jinsi ya kujitangaza na kueleweka kwa watu!
Usiogope pamoja na kampeni za kuwakusanya watu, unaweza kutumia njia za kitechnologia ambazo ni rahisi kuweza kuwafikia watu wengi kwa wakati mmoja na kwa muda mfupi.
Tafuta mtaalam wa PRODUCTION
au wa ANIMATION akutengenezee promo video fupi ya utambulisho yenye
JINA LAKO KAMILI:
MAHALI UNAKOISHI
CHAMA UNACHOTOKA
KWA NINI UNAGOMBEA HIYO NAFASI
MAONO/ AHADI ZAKO
OMBA KURA
video isizidi dakika 5.. mda wa kampeni utakapofika sambaza kwenye magroup ya watu wako ili waendelee kukusikiliza hata ukiwa umelala.
hakikisha unapicha nzuri hata kumi kwaajili ya kushare na watu wako.
kuna watu humchagua mtu kwa uvaaji wake tu au kwa kua walimuona mahali hata kama hawajaskia alichosema.
hata kama ni gharama tumia vizuri technologia uone matokeo yake.
si mjuzi sana wa sheria ila natumai utaratibu huo hauvunji sheria
kwa msaada zaidi na ushauri wa uifanye namna gani ili iweyenye maana njoo DM au comment ntakujibu hapa hapa
Nawatakia mafanikio.
Niende kwenye maada moja kwa moja,.
NAJUA week moja ya kampeni kwa wale wanaotaka kugombea kwa mara ya kwanza uenyekiti, inawapa changamoto sana jinsi ya kujitangaza na kueleweka kwa watu!
Usiogope pamoja na kampeni za kuwakusanya watu, unaweza kutumia njia za kitechnologia ambazo ni rahisi kuweza kuwafikia watu wengi kwa wakati mmoja na kwa muda mfupi.
Tafuta mtaalam wa PRODUCTION
au wa ANIMATION akutengenezee promo video fupi ya utambulisho yenye
JINA LAKO KAMILI:
MAHALI UNAKOISHI
CHAMA UNACHOTOKA
KWA NINI UNAGOMBEA HIYO NAFASI
MAONO/ AHADI ZAKO
OMBA KURA
video isizidi dakika 5.. mda wa kampeni utakapofika sambaza kwenye magroup ya watu wako ili waendelee kukusikiliza hata ukiwa umelala.
hakikisha unapicha nzuri hata kumi kwaajili ya kushare na watu wako.
kuna watu humchagua mtu kwa uvaaji wake tu au kwa kua walimuona mahali hata kama hawajaskia alichosema.
hata kama ni gharama tumia vizuri technologia uone matokeo yake.
si mjuzi sana wa sheria ila natumai utaratibu huo hauvunji sheria
kwa msaada zaidi na ushauri wa uifanye namna gani ili iweyenye maana njoo DM au comment ntakujibu hapa hapa
Nawatakia mafanikio.