WIKI MBAYA KABISA!:wiki ya uchaguzi-2010

Teamo

JF-Expert Member
Jan 9, 2009
12,272
1,034
Wandugu.......!
HABBAAARR ZEEENU BAAAANAAAAAAAAAA!

kwa kweli leo nimeonelea ni vyema kabisa nikatoa ''langu la moyoni'' maanake dah!kuna vitu havivumiliki


  • nina HASIRA KALI inayotokana na kukisikia nisichokitarajia kwenye vyombo vya habari!
  • nina amini kwamba TUNAONEWA na hawa ''metropolitan'' politicians!
  • nina SIKITISHWA SANA na tabia ya wakazi wa dar kujiandikisha halafu KUTOPIGA KURA
Hali hiyo inanisababishia:


  • kuiona BIA chungu kama SIFONGO
  • kuiona valuu inatisha kama SUMU
  • kupaona BAA kama jehanamu
  • kuichukia hata redio ya ''tukutuku'' langu siku hizi siwashi redio tena
Kwakweli wapwaaz nipo kwenye wakati mgumu sana yani....

ushauri tafadhali!.....

NI MIMI KATIKA UTEKELEZAJI WA ''SHERIA-MAMA''
Baba Gift
The king
 
Mi hili liwiki limeniuzi sana

hata infii nazo zilikuwa haba...kila unayemtafuta unakuta yuko bize na Halima Mdee. Ukija JF wapwa wote wamechakachuliwa na siasa. Ukirudi home, bimkubwa yuko bize na Slaa. Ukimtafuta matesha yuko bize na homuweki. Ukiwasha TV machaneli yote yako bize na kumtangaza Kikwete ndio mshindi........... Agrrrrrrrrrrrrrrr:A S angry::A S angry::A S angry::A S angry::A S angry:
 
Na hapa jf Invii kafunga kile chumba cha maongezi....:A S angry:....
Ila cha kufurahisha....kulikua na sababu ya kuchelewa kurudi nyumbani....kulinda kura zetu zisichakachuliwe...
 
Hahahhah Baba Gift...... pole mwaya hivi hata kina eliza unawaona wachungu? au nao wako kwenye uchaguzi lol

Babu hahhahah infii wako kulinda kura na kuchakachua ili mhishiwa arudi madarakani kwani alikuwa anawatengenezea mazingiza mazuri ya infidelity.........
 
Na hapa jf Invii kafunga kile chumba cha maongezi....:A S angry:....
Ila cha kufurahisha....kulikua na sababu ya kuchelewa kurudi nyumbani....kulinda kura zetu zisichakachuliwe...

Hilo nalo limeniudhi sana. Michakato ya kutafuta infii ilipungua kasi bana.

hebu cheki na invii mwambie JK kashashinda aturudishie chumba chetu:hippie:bowl::bowl::bowl:
 
Mi hili liwiki limeniuzi sana

hata infii nazo zilikuwa haba...kila unayemtafuta unakuta yuko bize na Halima Mdee. Ukija JF wapwa wote wamechakachuliwa na siasa. Ukirudi home, bimkubwa yuko bize na Slaa. Ukimtafuta matesha yuko bize na homuweki. Ukiwasha TV machaneli yote yako bize na kumtangaza Kikwete ndio mshindi........... Agrrrrrrrrrrrrrrr:A S angry::A S angry::A S angry::A S angry::A S angry:
ha ha ha!
hata mary munisi nae alikuwa analinda kura kerege
 
Na hapa jf Invii kafunga kile chumba cha maongezi....:A S angry:....
Ila cha kufurahisha....kulikua na sababu ya kuchelewa kurudi nyumbani....kulinda kura zetu zisichakachuliwe...
hehehehe!
wee umelaaniwa
 
Hahahhah Baba Gift...... pole mwaya hivi hata kina eliza unawaona wachungu? au nao wako kwenye uchaguzi lol

Babu hahhahah infii wako kulinda kura na kuchakachua ili mhishiwa arudi madarakani kwani alikuwa anawatengenezea mazingiza mazuri ya infidelity.........
wakina eliza woote hawapatikani kwa sasa
gest nazo zimejaa wanasiasa tu
 
Hilo nalo limeniudhi sana. Michakato ya kutafuta infii ilipungua kasi bana.

hebu cheki na invii mwambie JK kashashinda aturudishie chumba chetu:hippie:bowl::bowl::bowl:

Mbaya hata sijachukua hata namba ya :cell: kwa ajili ya Plan C....:A S angry::A S angry:
 
Uchakachuaji sio?

Walaaniwe wote wanao chakachua matokea na wafe kibudu
 
Uchakachuaji sio?

Walaaniwe wote wanao chakachua matokea na wafe kibudu
sasa mkuu tukishawalaani itakuwaje?
maanake kuna vitu vinataka ''juhudi za makusudi'' kuvikabili

HIVI KWELI MKUU JIMBO LA SEGEREA wamejiandikisha watu 150,000+ na waliopiga kura ni 50,000?inaingia akilini hiyo?
hapo mzee ukirud hme unaweza jikuta unamzibua kibao waif bila kosa
 
Hii habari hebu ipeleke kule kwenye jukwaa lao.

Hapa tunazungumzia uchaguzi ulivyotunyima wapwa ku do the needful.
hahahaha!
hapo nadhani ni makosa madogo ya ki-mtandao tu!
nimediliti haya na wewe diliti
 
sasa mkuu tukishawalaani itakuwaje?
maanake kuna vitu vinataka ''juhudi za makusudi'' kuvikabili

HIVI KWELI MKUU JIMBO LA SEGEREA wamejiandikisha watu 150,000+ na waliopiga kura ni 50,000?inaingia akilini hiyo?
hapo mzee ukirud hme unaweza jikuta unamzibua kibao waif bila kosa

Hahahaha mkuu sasa hapo walio piga kura kama ni 50,000 subili usikie kura za urais unaweza kuta zinazidi za walio piga kura
 
This message has been deleted by Baba Gift.
Reason
haiko mahala pake


Ewaaaaaaaaa! Sasa tuendelee na lojistiksi. Josefina ulifanikiwa kuchukua namba zake? Yule bana nna mpango wa KUOA kabisa.:smile-big::smile-big::smile-big:
 
Hahahaha mkuu sasa hapo walio piga kura kama ni 50,000 subili usikie kura za urais unaweza kuta zinazidi za walio piga kura
enewei........
kuna moja ndo imenidisapoint zaid

waliojiandikisha 300,000
waliopiga kura 49,000
 
This message has been deleted by Baba Gift.
Reason
haiko mahala pake


Ewaaaaaaaaa! Sasa tuendelee na lojistiksi. Josefina ulifanikiwa kuchukua namba zake? Yule bana nna mpango wa KUOA kabisa.:smile-big::smile-big::smile-big:
sasa mkuu utaoa MARA NGAPI?
hehehehe!
lakini ile baa mpya ile haya bana!

hivi una namba ya meneja?
 
Hivi kuoa kuna LIMITS kama kwenye calculus?:nono::nono::nono:
mkuu naomba ukafute pale uliponinukuu kwenye ile post niliyochanganya habari.....

again
hakuna sheria inayoumruhusu INFIDELATOR kuoa mara mbili au zaid
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom