hata,ANBEN ni mwadilifu??Mmeanza kununua?kwi kwi kwi...!!
CCM hamna mtu mkubwa wote ni sawa mbele ya Jicho la chama.
By the way hakuna muadilifu anayeweza kuhama CCM bali fisadi tu...
hata,ANBEN ni mwadilifu??Mmeanza kununua?kwi kwi kwi...!!
CCM hamna mtu mkubwa wote ni sawa mbele ya Jicho la chama.
By the way hakuna muadilifu anayeweza kuhama CCM bali fisadi tu...
.......Hapana mkuu wako wengi wanakuja.wamekaa ccm lakini sasa wamechoka wanaona wale wa kunuliwa wakifika tu na vyeo wao wanasugua bench
Swissme
magufuliDah....itakuwa che nkapa
.....
.....Mtu mkuu CCM was Lowassa
Natamani awe MembeKama sio Membe au Mwandosya sijui...
.....Jana nilimuona A Town na MH.LEMA nikajiuliza na nikamuliza Mh lema vipi huyu kiongozi wa ccm anatafuta nini lema kanikonyeza na kusema kamanda kaja kujisajili.
Swissme
....Natamani awe Membe
....
.....stay tuned Hapa hapa
hata Kikwete?Mimi nadhani mtikitisiko mkubwa zaidi kutokea ni ule wa Lowasa.....
Hiyo mingine itakuwa ni mitetemo tu ya kawaida