Tetesi: Wiki ijayo nchi kutikisika, mtu mkubwa sana kukihama Chama cha Mapinduzi

Jana nilimuona A Town na MH.LEMA nikajiuliza na nikamuliza Mh lema vipi huyu kiongozi wa ccm anatafuta nini lema kanikonyeza na kusema kamanda kaja kujisajili.



Swissme
.....
.....Nimeisikia hiyo chinichini Mkuu kaamua Kula Krismas bila presha
 
Membe hawezi kuiva chungu kimoja na Lowasa.. Lowasa na Sumaye kurejea CCM.
 
Hizi santuri zilishachokwa. Si ahame tu then ndio autangazie umma? Haya matetesi ya kila siku hayana mashiko.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom