Mzee wa kusawazisha
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,587
- 1,136
Kwanza nianze na shukrani kwa ndugu mkuu utakae jitoa kwa kunielekeza mawili ma3 jinsi ya kutuma kuweka na kuwatolea watu pesa... Ninaanza Airtel na tigo.
Kwa Sasa najishugulisha na salon yani nanyoa watu na mimi ndie mmiliki wa ofisi, kwa hivyo nimeona niongeze wigo wa mapato ili kujijenga kiuchumi nitafanyia kazi hapo hapo salon, nimemaliza chuo mwaka Jana level ya shahada Sina kiu ya kuajiriwa kwa Sasa nimeanza movement za ujasiriamali Toka nikiwa chuoni..
Mwisho kabisa nawakaribisha nielewesheni wakuu kijana mwenzenu ni chalii tu wa miaka 27.. Karibu. Mtandao ni tigo na Airtel money.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Sasa najishugulisha na salon yani nanyoa watu na mimi ndie mmiliki wa ofisi, kwa hivyo nimeona niongeze wigo wa mapato ili kujijenga kiuchumi nitafanyia kazi hapo hapo salon, nimemaliza chuo mwaka Jana level ya shahada Sina kiu ya kuajiriwa kwa Sasa nimeanza movement za ujasiriamali Toka nikiwa chuoni..
Mwisho kabisa nawakaribisha nielewesheni wakuu kijana mwenzenu ni chalii tu wa miaka 27.. Karibu. Mtandao ni tigo na Airtel money.
Sent using Jamii Forums mobile app