muongozaji
JF-Expert Member
- Oct 9, 2009
- 1,386
- 999
mkuu ww ndo uliemzalisha nn.....hata diagnosis umepata tayari!!
Ha ha haaah. Hapana mkuu, sio mimi niliemzalisha
mkuu ww ndo uliemzalisha nn.....hata diagnosis umepata tayari!!
Amempenda doctor kama wewe unavyotaka kumpenda Mshana Jr!Ata sija kuelewa eti
ana kichaa cha mimba hahahahahaHabari za siku wadau,mwenzenu hivi nimepata kibarua kigumu cha kuuguza mzazi. Nina wifi yangu kiumri ni kama anamiaka 25 huyu amejifungua kama ana siku 14 hivi,alisaidiwa na dr mmoja mkaka na amejifungua kwa njia ya kawaida.
Kinachonishangaza ni pale anapoamua kusema anavyojiskia ,alianza kulia nikambembeleza aniambie akasema ntakwambia ila usimwambie mchumba wangu,nampenda Dr alienizalisha nampenda sana sina jinsi ya kumwambia ila naumia wifi nampenda.
Anasema yupo radhi kwa lolote simuelewi hataa.
Naomba ushauri maana sina pa kuanzia hata.
kila mtoto na baba yake unapata United Colours of benettonwanawake bana. Wanakoroga mambo akiachwa anaanza kulalamika
Hiv huwa mnajisikia raha kuzaa kila mtoto baba yake?
Mwambie atulie atakosa vyote.
wanawake wengi huwa wanakuwa hawapo sawa mapema baada ya kujifungua, wengine huwa na hisia za chuki mno, wengine kulia bila sababu, hasira na mengineyo.
hivyo basi mshauri huyo wifiyo asubiri baada ya siku 40 kisha mtaliongelea hilo swala.
nina uhakika hatokuwa tena na hisia hizo baada ya hizo siku.
kumbe huwa panarudi enhMwambie alee kwanza kichanga chake na pale kati parudi tyt
LIKE,LIKE,LIKE.LIKE...........................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................Asubiri ka baby kakue
Yawezekana mganga(Operator) alipitisha bulldozer vizuri katika harakati za kufanya upanuzi wa barabaraDokta hakumgegeda kweli kabla ya kujifungua huyo
ManiaMuambie aache ujinga wake!!! Hiyo fantasy yake itampeleka kubaya asipojiangalia. Au amepata puerperal psychosis nini? Of course hiyo ni rare mental health condition but it is a possibility. Atakuwa okay eventually...